Richard irakunda
JF-Expert Member
- Oct 23, 2018
- 3,660
- 4,383
Mzee baba mimi umeniumiza sana kumtaja Bashite huwa nakwazika sana kumuona huyo mkwepa kodi bado yupo on topNilicho gundua ni kuwa wa Tanzania wanao tetea sana jiwe wengi wanafaidika na huu utawala yaan akina bashite,mnyeti ,musiba na wengineo na ndo hawa tunawaona hapa kwa id's fake wakijifanya wao ni wazalendo sana ....lakn kiuhalisia kabisa utawala huu una mengi ya kukemewa ikiwa ni pamoja na ukosefu wa Uhuru na usalama wa maisha,kudhulumu wakulima,ongezeko la kodi kwa mafanyabiashara ,kutaifisha mafao ya wasitaafu,double standards mfano bashite kuendelea kuwa madarakani ..na mengine mengi ya hovyo!