Qwy
JF-Expert Member
- Nov 23, 2018
- 6,238
- 31,148
Wishful thinking, mdogo mdogo tu time will tell.Tuko vizuri.
Wishful thinking, mdogo mdogo tu time will tell.Tuko vizuri.
Kwahiyo awamu iliyopo haina haki ya kurekebisha madudu ya kina Benjamini na mkwere?
Hamna kiwango cha kupima standard ya Democracy. China ndio Nchi iliyo prove without democracy umnaweza kusurvive tu.Hapana, ila upinzani ni sehemu ya denokrasia.
MIGA ni mtego wa kibeberu ulioingiwa awamu zilizopita za kibeberu, sio awamu hiiHata ushauri wa kujitoa MIGA kwanza haukueleweka?
Bepari anatapatapa tu muda huu, elaborate in what way is it nonsense?