Mndengereko
JF-Expert Member
- Mar 24, 2011
- 7,307
- 3,416
yule mwenye wazo lilea lionekana mjinga kipindi kile ila sijui amekimbilia wapi tena,?Ukifikiria kwa kina sana naweza ungana na wale jamaa aliyewahi kusema kuwa anaweza Kibadili kihifadhi kumbukumbu na kuweza kuhifadhi mafaili bila ukomo.
Kwa kuwa mafaili yaliyo futwa huwa tu yameondolewa ktk ukurasa wa mbele wa Tarakirishi yako. Kwa nini tusiweze kuhifadhi mafaili hayo badala ya kuyaficha?
Ni wazo langu tu
unafuta ukurasa wa yaliyomo ila content bado zinabaki bt zimefichwaUnapo empty trash nini hutokea.
Maelezo mafupi na rahisi ni haya;
utunzaji wa mafaili Kwenye Hdd ni kama uandishi wa kitabu. kuna ukurasa unaitwa yaliyomo (hizi ni references tu)
na kurasa mbali mbali zinafuatia.Ukitaka Habari kihusu jambo fulani unakwenda Kwenye yaliyomo. yaliyomo inakuelekeza ni ukurasa upi.
Ndivyo na Computer ilivyo. computer inakuonyesha yaliyomo kama mafaili ma mafolder.
Kwenye Computer katika kufuta mafaili; maelekezo ( references tu) yaliyo kwenye yaliyomo ndo yanaondolewa na ukurasa unabaki kama ulivyo, japo computer inaweza kuandika tena katika ule ukurasa na kuuingiza kwenye listi ya yaliyomo tena!
yule mwenye wazo lilea lionekana mjinga kipindi kile ila sijui amekimbilia wapi tena,?
alishindwa kujitetea, ila hii mada tayari inaweka wazi kuwa inawezekana kustore zaidi mpaka infinity. Ila tu hawajaamua kuwezesha
Mimi nawashukuru wataalam wa IT kwa msaada wenu. Hatimaye nifanikiwa kurecover document zangu zote za muhimu ambazo nilikuta dogo amefuta kutoka kwenye external yangu.
Procedure ilikuwa hivi, niliomba humu wakanitumia program attachment lakini nilipo download ziligoma. Ikabiidi ni download Pandora kupitia Google na nikafanikiwa na kuinstall kwenye pc yangu.
Nimefanikiwa nawashukuru sana wote kwa mchango wenu. Abarikiwe aliyeanzisha JF coz inanipa maujuzi mengi sana. Kwa kweli sasa hivi nikikaa najitahidi sana kuchangia karibu kila sector coz of JF. Thank u very much be blessed all
Maelezo yako sahihi mkuu,mimi kinachonichanganya ukishafuta ktk recycle bin kwanini uki2mia recovery program una uwezo ya kuyarudisha wakati ushafuta maana yake kuna link kati ya huko yalipo na comp.
simple but clear!!!! i like this commentkitu chochote kilichoingizwa kwenye computer huwa hakitoki kamwe kinabaki katika hdd nakuifadhiwa hata ukiformat yanaenda ktka hdd na yanakuwa kwa format nyingine
siyo window, exel, pdf hapana yanakuwa katika mfumo wa 01010 hivyo ukiweka software ya kuretrive utayapata nakama ya mda mrefu yanaweza kuwa hayasomeki mpaka uweke soft ya kuyaformat to original state ndomaana tunaambiwa ukiona unataka kutupa comp lazima uismash
Binafsi nakushukuru sana na nimeelimika na ushauri,ukweli wewe ni Mwalimu mzuri.Maelezo mafupi na rahisi ni haya;
utunzaji wa mafaili Kwenye Hdd ni kama uandishi wa kitabu. kuna ukurasa unaitwa yaliyomo (hizi ni references tu)
na kurasa mbali mbali zinafuatia.Ukitaka Habari kihusu jambo fulani unakwenda Kwenye yaliyomo. yaliyomo inakuelekeza ni ukurasa upi.
Ndivyo na Computer ilivyo. computer inakuonyesha yaliyomo kama mafaili ma mafolder.
Kwenye Computer katika kufuta mafaili; maelekezo ( references tu) yaliyo kwenye yaliyomo ndo yanaondolewa na ukurasa unabaki kama ulivyo, japo computer inaweza kuandika tena katika ule ukurasa na kuuingiza kwenye listi ya yaliyomo tena!
Hapo kwenye red, ni sawa usemayo lakini ni watu wangapi wanaweza kununua a brand new computer/Lap Top or the like kwa maisha haya ya kibongo? Nimeshuhudia hapa hapa jamvini baadhi ya members wakitafuta used Lap top za kununua kwa bei ya Tshs.
Laki tatu! Pamoja na hayo bado kuna tatizo kubwa la uelewa katika tasnia nzima ya IT kwa maana tu hata ile elementary knowledge hasa kwa wale wa mwaka 47; Kuna member mmoja hapa ktk uzi huu amesema kuwa anafanya PhD.
kuhusu suala lililoulizwa hapa; sina hakika kama alikuwa anatania au la! Kapotelea wapi sijui.
Natafuta min Laptop kwa 300000 tu!
Au kwa maneno mengine unaweza sema tuna-demagnetize