Kongosho
JF-Expert Member
- Mar 21, 2011
- 35,999
- 24,175
Huuoni ukweli coz you are blinded by gender
Mkuu sidhani hili kama linaukweli ndani yake
Mkuu sidhani hili kama linaukweli ndani yake
Dada zetu wa vyuoni mpo hapo? Kazi kwenu kusikiliza ushauri na kuutekeleza au kupuuza yakukute
Bachelor of tiot
njoo taifa ule raha ,mpwa naambiwa na mkuu mmoja wa tff leo afi mtu refa ashawekwa sawa timu lazima itinge fainali ingawa bingwa ni rwanda wanadai aijalishi leo wachezaji wameshauriwa kujimwaga eneo la penati kama wendawazimu naipenda tff naipenda afrika
Si digrii tu. Hatu ubunge wa viti maalum, ujaji, ubalozi na vyeo vingine vyenye mshiko. Unategemea nini iwapo kiranja mkuu mwenyewe ni chovya chovya? Kama tunamzushia mwabie kiranja wako mkuu wa kaya alete akina mama aliozaa nao huo utitiri wa watoto wanaoibuka kila uchao pale Iku sorry kukuu. Ukiishi kwa upanga utakufa kwao. Tatizo la nchi yetu ni kila mtu kutaka kuukata bila kuwa na kisu cha kufanyia hivyo. Angalia hata wapinzani wanavyoogopa kuingia mitaani kwa kuogopa mabomu lakini bado wanataka dezo ya kupata haki. Think thrice guys.
bwana awe na maprof/dk/na wote watomasao dadazetu kwa njia ya kuwasaidia
moto wa milele uwape ee bwana na mwanga wa motoni uwaangazie
wapumzike kwa amani walio hai na walitangulia mbeele za jehanum
AMEEEEEEEEEEEEEEEENNNNNNNNNNNNNNNNNNNNNNNNN