Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,956
- 22,149
Kwa walendugu zangu wa 2000 pale udsm mnakumbuka haka kamchezokalipokuwa kanawaumiza madada wetu ingawa kwa bahati mbaya wengi nawajuawazuri hivi leo hatuko kano kutokana na kuambukizwa kisa kupata degree yya muda
Nimemkumbuka Marehemu Prof mmoja alikuwa akiwatomasa bila adabu dada zetu pale njiapanda ya kuingilia chuo ukitokea ubungo
kale ka Bar ambacho kaliwazazalisha dadazetu leo hii ni kanisa la Kuabudu Mungu
Nimeona mwezi huu shere kibao za kupongezwa aka graduation nikajiuliza mliopo jamani haka kamchezo kanaendelea bado???
na wadadawa mnaowavulia ma PROF,DK na wengineo laboratories wakiwadanganya kuwaibia mtihani kwa ma dk mnajua amkai sana na degree zenu mnazichimbia pale kinondoni kama utabahatika kulipia yale makaburi kabla ya kufa
Embu tubadilike jamani kuna kadada tumekazika majuzi kamekuwa kakichapwa sana na Maprof na wengine leo hii wanaongoza vyuo mbalia mbali hakika walilia wengi sana sana na mbaya zaidi akaangukia kwenye moto kwa mmoja wa wafadhali wa mchezo hapa nchini ambae alishaungua siku nyingi Mungu wangu ,,sisemi hivi kuwasabai bali nawaomba kama ujaanza kamcehzo hako basi usiombe ni kabaya wapendwa ukimaliza graduation hata umpeelekee Bure Prof achukui hiyoo tu inaonyesha jinsi gani isivyo na thamani alikutamani ukiwa kwenye miliki yake ya mitihani........
Mwisho nawatakia kuongezeka vyuoni idadi nyingi ya mabinti iili wanaume waweze kusoma vizuri kama uamini kaulize wale mabinti wa JANGWANI SEC WALIOTOKA MAZINDE JUU WANAVYORUKA UKUTA USIKU KWENDA CLUB KUFANYIWA CHECK C
Nimemkumbuka Marehemu Prof mmoja alikuwa akiwatomasa bila adabu dada zetu pale njiapanda ya kuingilia chuo ukitokea ubungo
kale ka Bar ambacho kaliwazazalisha dadazetu leo hii ni kanisa la Kuabudu Mungu
Nimeona mwezi huu shere kibao za kupongezwa aka graduation nikajiuliza mliopo jamani haka kamchezo kanaendelea bado???
na wadadawa mnaowavulia ma PROF,DK na wengineo laboratories wakiwadanganya kuwaibia mtihani kwa ma dk mnajua amkai sana na degree zenu mnazichimbia pale kinondoni kama utabahatika kulipia yale makaburi kabla ya kufa
Embu tubadilike jamani kuna kadada tumekazika majuzi kamekuwa kakichapwa sana na Maprof na wengine leo hii wanaongoza vyuo mbalia mbali hakika walilia wengi sana sana na mbaya zaidi akaangukia kwenye moto kwa mmoja wa wafadhali wa mchezo hapa nchini ambae alishaungua siku nyingi Mungu wangu ,,sisemi hivi kuwasabai bali nawaomba kama ujaanza kamcehzo hako basi usiombe ni kabaya wapendwa ukimaliza graduation hata umpeelekee Bure Prof achukui hiyoo tu inaonyesha jinsi gani isivyo na thamani alikutamani ukiwa kwenye miliki yake ya mitihani........
Mwisho nawatakia kuongezeka vyuoni idadi nyingi ya mabinti iili wanaume waweze kusoma vizuri kama uamini kaulize wale mabinti wa JANGWANI SEC WALIOTOKA MAZINDE JUU WANAVYORUKA UKUTA USIKU KWENDA CLUB KUFANYIWA CHECK C