C cattoon Senior Member Joined Apr 9, 2018 Posts 142 Reaction score 43 Oct 24, 2018 #1 Kwa yeyote anaejua swala hili anijuze kama nitaanza certificate nikitaka kuchukua degree ni miaka mingapi?
Kwa yeyote anaejua swala hili anijuze kama nitaanza certificate nikitaka kuchukua degree ni miaka mingapi?
chazdlamarck JF-Expert Member Joined May 29, 2017 Posts 256 Reaction score 95 Oct 24, 2018 #2 cattoon said: Kwa yeyote anaejua swala hili anijuze kama nitaanza certificate nikitaka kuchukua degree ni miaka mingapi? Click to expand... Hata certificate hujaanza unaulizia degree
cattoon said: Kwa yeyote anaejua swala hili anijuze kama nitaanza certificate nikitaka kuchukua degree ni miaka mingapi? Click to expand... Hata certificate hujaanza unaulizia degree
R RtsHjcq JF-Expert Member Joined Aug 19, 2017 Posts 4,753 Reaction score 5,516 Oct 24, 2018 #3 chazdlamarck said: Hata certificate hujaanza unaulizia degree Click to expand... Hahahahah.dogo anazingua wengine ndo kwanza wanapiga diploma wanawaza jinsi ya kupata GPA ya bachelor.yeye certificate anapiga yowe Jokes dogo,ila kaza dogo usiwaze
chazdlamarck said: Hata certificate hujaanza unaulizia degree Click to expand... Hahahahah.dogo anazingua wengine ndo kwanza wanapiga diploma wanawaza jinsi ya kupata GPA ya bachelor.yeye certificate anapiga yowe Jokes dogo,ila kaza dogo usiwaze
Chrismoris JF-Expert Member Joined Oct 27, 2017 Posts 14,234 Reaction score 17,826 Oct 25, 2018 #5 TANGAZO KWA FORM SIX WOTE. Kama una ndugu yako amemaliza form6 na hajafanikiwa kujiunga na chuo Lakini yuko home anajua kuongea Kiswahili na kiingereza na yuko tayari kufanya kazi kwa mshahara wa laki 8 msalimie Sana Mwambie Tuko pamoja.
TANGAZO KWA FORM SIX WOTE. Kama una ndugu yako amemaliza form6 na hajafanikiwa kujiunga na chuo Lakini yuko home anajua kuongea Kiswahili na kiingereza na yuko tayari kufanya kazi kwa mshahara wa laki 8 msalimie Sana Mwambie Tuko pamoja.
chazdlamarck JF-Expert Member Joined May 29, 2017 Posts 256 Reaction score 95 Oct 26, 2018 #6 baron de montesque said: Sasa si unaona,ndio maana unajibu hovyo.Nenda Cheti tuu dogo langu.ikibidi achia hapo Click to expand... Umeona bora aishie hapohapo
baron de montesque said: Sasa si unaona,ndio maana unajibu hovyo.Nenda Cheti tuu dogo langu.ikibidi achia hapo Click to expand... Umeona bora aishie hapohapo
kikoozi JF-Expert Member Joined Jun 24, 2015 Posts 2,142 Reaction score 3,189 Oct 26, 2018 #7 Miaka 6