Habari bandugu wana jamvi wa JF
Mimi ni kijana 22, ninategemea soon kua first year kwa Course ya Transport & logistics au IT. Lakini ndoto yangu kubwa ilikua ni kua pharmacist Je ninaweza kusoma degree na Diploma kwa wakati mmoja....msaada wa ushauri na mawazo yenu ndugu zang...
Ahsante
Mimi ni kijana 22, ninategemea soon kua first year kwa Course ya Transport & logistics au IT. Lakini ndoto yangu kubwa ilikua ni kua pharmacist Je ninaweza kusoma degree na Diploma kwa wakati mmoja....msaada wa ushauri na mawazo yenu ndugu zang...
Ahsante