Bwana Utam
JF-Expert Member
- Feb 15, 2016
- 20,005
- 37,417
Wee jamaa fala sana ujue[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Hiyo ni asili mkuu tuliyoumbiwa nayo,ndio maana tuna ujasiri wa kutongoza ila wao hawana,tumeumbwa na tamaa juu ya hill wala halikwepeki,binafsi niliwahi kumfuta nyuma mdada aliyetelemka kwenye daladala k,koo mpaka mnazi mmoja nikiwa nafurahishwa na umbo lake na ule mneso wa tako,baadaye nilijilaumu sana kwa kupoteza muda[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]