Deep State vs Magufuli juu ya Manaibu Waziri waliotokea CHADEMA

USSR

JF-Expert Member
Jul 15, 2015
9,896
22,664
Unaweza ukajiuliza kwanini Manaibu Waziri walitokea upinzani watabakia hapo na hawawezi kupanda kwa mawaziri yaani wawe ndani baraza la Mawaziri linaloketi na kujadili, kumshauri na kupitisha mambo muhimu ya kitaifa kwa kupiga kura jibu ni moja tu waliowahi kuwa kinyume na Serikali hiyo hiyo

Huko nyuma Dkt. Makongoro Mahanga aliwahi kulalamika kuwa Rais Kikwete hampandishi kuwa Waziri japo ana elimu kubwa kuliko waliotokea chini. Jibu lilikuwa moja tu aliwahi kuwa kinyume na Serikali kama mpinzani.

Dkt. Mwakyembe na Nape walijaribu kuanzisha chama waliitwa haraka na Kikwete kipindi hicho Mwakyembe ambaye aliwahi kuwa Waziri sasa alitaka kuhasi alitulizwa haswa na kupewa Uwaziri na Nape usemaji

Kwa hiyo Gekul, Silinde, Mollel na Katambi watabakia hapo mpaka waachishwe na hilo ni moja ya kosa kubwa la Hayati Magufuli kwa deep state, kuwapa Unaibu Waziri hawa wabunge hii Kikwete akikataliwa kabisa kumpa uwaziri au unaibu Mbatia na Jussa kipindi kile.

Ukiishi kuwa mpinzani utabakia kubwa mpizani CCM hawatakubali uwe sehemu serious katika mambo yao (msemo wa ng'ombe alikatwa mkia)

USSR
 
Thinking yako siyo sahihi!
Hao hawajapandishwa kuwa Mawaziri kwa kuwa hawana "outstanding performance" period!

Wala deep state ya Tanzania haina thinking hiyo uliyo nayo wewe!
Unaweza kusemaje kuhusu Mzee Steven Masato Wassira ili u- justfy thinking yako?

Wassira alikimbia CCM na hadi akawa Mbunge kupitia upinzani pale Bunda na hadi aliwahi kushiriki kuanzisha Chama cha Upinzani!

Tatizo vijana wengi leo sababu ya elimu zenu duni hamuwezi kufanya deep analysis!
 
Thinking yako siyo sahihi!
Hao hawajapandishwa kuwa Mawaziri kwa kuwa hawana "outstanding performance" period!
Wala deep state ya Tanzania haina thinking hiyo uliyo nayo wewe!
Unawezakusemaje kuhusu Mzee Steven Masato Wassira ili u- justfy thinking yako?!
Yule alikuwa sawa na Mwakyembe jaribu kufikiria hilo

USSR
 
Mkuu Fumadilu Kalimanzila kweli kabisa vijana wengi wana emotional na hata hawafanyi ka_research hata kadogo.

Kuwa mpinzani siyo sababu ya kutokuwa mtendaji wa juu sana kwa taifa lako.

Mfamo; kuna watu wanaiponda cdm kuwa haina ofisi ya maana kupewa nchi, wakati wanasahau hata Ruto hakuwa na ofisi ya maana kisiasa but leo yupo wapi.
Sasa kenya kwanza imeanza imeanza lini na imepewa ruzuku bei gani tangu ianzishwe,hapa najadili na vilaza na muda huu mpo kwenye ma bar hatuwezi kuelewana

USSR
 
Tanzania hakuna deep state ya hivyo, bali kuna kundi lililokabidhiwa kazi ya kisiasa kuilinda CCM isitolewe madarakani.

Ukiona deep state inapangiwa cha kufanya na rais aliye madarakani, ujue hiyo sio deep state, bali ni genge la wanasiasa waliovikwa koti la deep state. Sifa kubwa ya deep state kwa hapa kwetu ni kuteka wanasiasa wa upinzani wasio na silaha.

Tuombe Mungu nchi yetu haijaingia vitani maana itakuwa aibu. Kuna mazingira tutapigwa kama watoto wa kike, maana deep state akili yao yote ni kupambana na wanasiasa wasio na silaha.
 
Tanzania hakuna deep state ya hivyo, bali kuna kundi lililokabidhiwa kazi ya kisiasa kuilinda CCM isitolewe madarakani. Ukiona deep state inapangiwa cha kufanya na rais aliye madarakani, ujue hiyo sio deep state, bali ni genge la wanasiasa waliovikwa koti la deep state. Sifa kubwa ya deep state kwa hapa kwetu ni kuteka wanasiasa wa upinzani wasio na silaha. Tuombe Mungu nchi yetu haijaingia vitani maana itakuwa aibu. Kuna mazingira tutapigwa kama watoto wa kike, maana deep state akili yao yote ni kupambana na wanasiasa wasio na silaha.
Ndiyo hiyo hiyo sema wewe huwezi jua majukumu yake maana hujui inaundwaje

USSR
 
Tanzania hakuna deep state ya hivyo, bali kuna kundi lililokabidhiwa kazi ya kisiasa kuilinda CCM isitolewe madarakani. Ukiona deep state inapangiwa cha kufanya na rais aliye madarakani, ujue hiyo sio deep state, bali ni genge la wanasiasa waliovikwa koti la deep state. Sifa kubwa ya deep state kwa hapa kwetu ni kuteka wanasiasa wa upinzani wasio na silaha. Tuombe Mungu nchi yetu haijaingia vitani maana itakuwa aibu. Kuna mazingira tutapigwa kama watoto wa kike, maana deep state akili yao yote ni kupambana na wanasiasa wasio na silaha.
Umezaliwa jana nini!!? Tanzania haijawahi ingia vitani??? Huelewi kuwa tuliingia vitani na Uganda na tukashinda!! Hopeless kabisa!!
 
Unaweza ukajiliza kwanini manaibu mawaziri walitokea upinzani watabakia hapo na hawawezi kupanda kwa mawaziri yaani wawe ndani baraza la mawaziri linaloketi na kujadili,kumshauri na kupitisha mambo muhimu ya kitaifa kwa kupiga kura jibu ni moja tu waliowahi kuwa kinyume na serikali hiyo hiyo

Huko nyuma DK makongoro Mahanga aliwahi kulalamika kuwa raisi Kikwete hampandishi kuwa waziri japo anaelimu kubwa kuliko waliotokea chini jibu lilikuwa moja tu aliwahi kuwa kinyume na serikali kama mpinzani.

Dk mwakyembe na nape walijaribu kuanzisha chama waliitwa haraka na Kikwete kipindi hicho mwakyembe ambaye aliwahi kuwa waziri sasa alitaka kuhasi alitulizwa haswaa na kupewa uwaziri na nape usemaji

Kwa hiyo Gekul, Silinde, Milele na Katambi watabakia hapo mpaka waachishwe na hilo ni moja ya kosa kubwa la MAGUFULI kwa deep state,kuwapa unaibu uwaziri hawa wabunge hii Kikwete akikataliwa kabisa kumpa uwaziri au unaibu Mbatia na Jussa kipindi kile .

Ukiishi kuwa mpinzani utabakia kubwa mpizani CCM hawatakubali uwe seheme serious katika mambo yao (msemo wa ng'ombe alikatwa mkia )

USSR
Unamjua steven wassira
 
Back
Top Bottom