johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,961
- 141,959
Waziri wa Tamisemi amemtaka mkurugenzi wa Bumbuli kujitsthmini yeye mwenyewe kama bado anafaa kuendelea na majukumu yake.
Waziri Ummy amesema Bumbuli inaongoza kwa ubadhirifu wa fedha za umma na kamwe hatamvumilia mkurugenzi huyo na amemtaka achukue maamuzi magumu kabla rungu la Rais Samia halijamshukia.
Bumbuli ni jimbo la January Makamba.
Kazi Iendelee!
Waziri Ummy amesema Bumbuli inaongoza kwa ubadhirifu wa fedha za umma na kamwe hatamvumilia mkurugenzi huyo na amemtaka achukue maamuzi magumu kabla rungu la Rais Samia halijamshukia.
Bumbuli ni jimbo la January Makamba.
Kazi Iendelee!