DED;Mbozi apigwa chini rasmi....ni mfujaji fedha

DED;Mbozi apigwa chini rasmi....ni mfujaji fedha

ferre.g

JF-Expert Member
Joined
Mar 3, 2013
Posts
2,215
Reaction score
329
Ded huyu alikuwa anakula fedha za walimu kwenda mbele... haskiliz walimu wala mtumishi yeyote...

Mungu mkubwa sana hatimae ameskia kilio cha watumishi hawa...
 
mkuu hebu tuletee taarifa iliyokamili ili tujue kwa kina kilichotokea eeenh kulikon maana hizo ni good news n.b kizur kula na nduguzo share nasi.
 
Unamapepo mtoa mada, ninahisi humfaham huyo unayemshambulia labda viloba vinakutesa! Kwa ufupi ded mwenyewe alistaafu november 2013, ndo huyo unayemsema? Akakaimishwa mmoja wa wakuu wa idara ambaye amefanya kazi inayosifiwa na kila anayeifaham mbozi! Labda wewe unaishi mbinguni! Silaumu walimu kwa kulalamika mko juuu! Sasa baada ya kukaimu ndo ameteuliwa ded proper tatizo liko wapi?
 
Hili ni tatizo sugu hapa jf habari huiandiki vizuri ijakamilika unaiweka jf msomaji akija anaanza kuuliza maswali badala ya kuchangia

Ukiandika vizuri habari ikawa na maelezo ya kutosha msomaji anaridhika sasa unaandika kama vile unakimbia?
 
Ded yupi unamtaja amekula fedha za walimu kuwa makini usipende kutumwa kama kibalaka mzeeee
 
Ded huyu alikuwa anakula fedha za walimu kwenda mbele... haskiliz walimu wala mtumishi yeyote...

Mungu mkubwa sana hatimae ameskia kilio cha watumishi hawa...
anaitwa nani na amepigwa chini na nani na kwa sababu ipi?
 
anaitwa nani na amepigwa chini na nani na kwa sababu ipi?


Vijana wa CDM hao mkuu usihangaike nao hii ni kama ile habari ya kukamatwa kwa kontena la kira Tunduma...
CDM wamelewa uongo..
 
Kwanini usitumie akili yako kufanya mambo ya msingi kuliko kuja hapa na kubandika ujinga
 
Back
Top Bottom