chofachogenda
Senior Member
- Oct 6, 2016
- 107
- 200
Nauza decoder ambayo itakusaidia kupata huduma ya internet kwa wenye TV za smart ingawa inaweza kutumika pia kwenye Laptop na desktop, inatumia line za mitandao yote ya simu. Being yake ni 50000 tu.
Nitoe ushamba inafanyaje kn