Dear future wife...

Dear future wife...

asanteelimu2016

JF-Expert Member
Joined
Sep 23, 2016
Posts
248
Reaction score
146
Natamani kukuonesha zaidi ni kiasi gani maisha yako yatakuwa yenye furaha kuanzia siku ambayo nitafunga pingu za maisha nawe. Nimepanga uione kila dakika katika maisha yako ya ndoa, kuwa ni nyakati nzuri za kukumbukwa. Nitakusifia kwa uzuri na tabia, siku zote kwa sababu umekuwa wa thamani sasa mpaka siku hiyo ambayo utakuwa ukimiliki sehemu kubwa ya maisha yangu.

Sijambo rahisi kusema nimekubali kukukabidhi maisha yangu, na kuwa nitatumia miaka yangu iliyobaki kuwa na wewe peke yako. Naahidi kukukabidhi funguo za moyo wangu wa upendo nilioufunga; ukiamua unaweza kuzimeza au kuzitupa ili nisiweza kufungua kwa mwingine.

Sitaki hata kufikiria maumivu yatakayoletwa na siku hiyo ambayo tutagombana. Nahisi moyo wangu utasimama na kuacha kufanya kazi yake kwa muda kama injini iliyokataa kuwaka. Lakini katika kila nyakati mbaya zitazopita, naahidi kusimama imara kukuonesha ni kiasi gani nimeamua kuwa na wewe mpaka siku nitakayotangulia.

Nakupenda kiasi ambacho umeweza kuwa shahidi wa penzi langu kwako, naahidi sintakuumiza.
 
Mawazo ya kabla ya ndoa huwa ni mazuri kweli,ila mkishaaoana hapo ndipo mambo hubadilika, ila kila la kheri
Watu wakishaingia wanakutana na 'the unexpected'...totally different from what they imagined hahhhaaaha..funny but sad.
 
Natamani kukuonesha zaidi ni kiasi gani maisha yako yatakuwa yenye furaha kuanzia siku ambayo nitafunga pingu za maisha nawe. Nimepanga uione kila dakika katika maisha yako ya ndoa, kuwa ni nyakati nzuri za kukumbukwa. Nitakusifia kwa uzuri na tabia, siku zote kwa sababu umekuwa wa thamani sasa mpaka siku hiyo ambayo utakuwa ukimiliki sehemu kubwa ya maisha yangu.

Sijambo rahisi kusema nimekubali kukukabidhi maisha yangu, na kuwa nitatumia miaka yangu iliyobaki kuwa na wewe peke yako. Naahidi kukukabidhi funguo za moyo wangu wa upendo nilioufunga; ukiamua unaweza kuzimeza au kuzitupa ili nisiweza kufungua kwa mwingine.

Sitaki hata kufikiria maumivu yatakayoletwa na siku hiyo ambayo tutagombana. Nahisi moyo wangu utasimama na kuacha kufanya kazi yake kwa muda kama injini iliyokataa kuwaka. Lakini katika kila nyakati mbaya zitazopita, naahidi kusimama imara kukuonesha ni kiasi gani nimeamua kuwa na wewe mpaka siku nitakayotangulia.

Nakupenda kiasi ambacho umeweza kuwa shahidi wa penzi langu kwako, naahidi sintakuumiza.
Mh, haya Bwana!
 
Warning:Be aware of the individual you call,someone prone to theatrical displays of melodrama.😀

Seems like you need this......

*** yaah!! And stop sounding like him....
 
Hahahaaa..Anakugawa bure bure..kwani hajui you're already taken..

Wacha nimpelekee moto sasa nilikuwa namalizana na kafiri na ajifunge mshipi sawasawa vinginevyo utamporonyoka hehehe
 
Back
Top Bottom