Deal ya cheti cha NECTA

makoyetz

Member
Joined
Mar 2, 2013
Posts
5
Reaction score
0
Hey there
Wakuu nahitaji kusafisha cheti changu cha form 4, kuongezea pass 1 tu katika masomo niliyo chemsha.
hii ni ili kuweza kukidhi qualification entry za chuo (certificate level).

natafuta mtu anaye deal au anajua connection na watu wanaoweza kurekebisha mambo kwenye system na wakatoa cheti kingine.

naongelea ku change kabisa matokeo ya nacte sio vile bandia vya mtaani

Nipeni connections.
Since its confidential issue, please reply on PM
 
Ha ha ha ha,
Kweli Tanzania ni zaidi ya uijuavyo gobore
 
Last edited by a moderator:
Hahaaa mliambiwa somen saivi hoo unataka kufoji ww inapaswa ukamatwe km mwalifu kwakufanya ivyonikuvunja sheria wewe rudia mtihani acha kutapatapa
 
Kajiajiri we pimbi,mapoli yanaozeana we unakaa kutafuta vyeti feki. Kwa taarifa yako hata hiyo connection itakuwa feki na utapigwa hela na watoto wa mjini.
 
Hawa ndo wazuri kudhurumiwa shenzy type hili aliniachia urithi marehemu baba yangu hakuwa na nyumba aliniachia hili tusi.
 
laiti kama mngejua vyeti fake hata siku moja hakiwezi kuwa real. Hata anaye kitengeneza afanye vipi.
Kwa taarifa kidogo tu ni kwamba pale chini ya cheti kuna alama ile inayong'ara watu wengi idhani ni mapambo na ndiyo inayofanya kuwepo na utofauti wa cheti fake na original. Kwa taarifa ni kwamba ile ni zaidi ya alama ile ni barcode ambayo ni compiter read zile information zinazoonekana kwenye cheti chako pia zimehifadhiwa kwenye hiyo code.

Hivyo vyeti vinakuwa printed nje na kampuni moja inaitwa TUMCO ambayo tawi lake liko pale mnazi mmoja. Hiyo ndiyo ina tengeneza hata vyeti vya UDSM, UDOM, Makerer na almost vyuo vyote vya east africa
 

kweli umedhihirisha kuwa wewe ni MAKOYE(matatizo), kumbe wasukuma wanajua kutoa majina vizuri
 

kweli ww ni mvivu wa kufikiri
 
Duh kumbe inawezekana mpaka kufoji cheti. Kazi kweli kweli
 
Mods naomba kwa mara ya kwanza kupewa ruhusa ya kutukana. Wakati nasubiri ruhusa hiyo naomba kusema kwamba ni hasara sana kwa taifa kuwa na watu wa aina yako, Makoyetz!
 

Wasiliana na Bujibuji ndio kazi yake hapa mjini!!
 
Last edited by a moderator:
kweli hii nchi haito endelea........jipange mkubwa, kama hutaki kurudi shule fikiria kujiajiri na sio kufoji cheti....HAVE FAITH IN YOURSELF, YOU CAN DO BETTER THAN WHAT YOU ARE ABOUT TO DO.........
 
mkuu piga 911 afu ueleze shida yako
 
makoyetz kuna mganga yuko Tandale kwa Mkatagovi, anaweza kukutatulia shida yako. yaani ni swala la wewe tu kumpelekea mbuzi mweusi na laki tano ya kuongea na mizimu. Mbona ishu yako ndogo tuuuuuu
 
Last edited by a moderator:
NimeshakuPM mbona hujibu kuhusu uwezo wako wakulipa hizo 5ml nilizokuambia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…