isaacsendama
Member
- Feb 21, 2016
- 76
- 21
Habar zenu wakuu? Hvi kwel naweza kwenda kusoma Udsm kwa dv 2 ya 12 especially coz ya Bachelor of Science in Agricultural and natural resources economics and business administration?
Kasome TCU guide bookHabar zenu wakuu? Hvi kwel naweza kwenda kusoma Udsm kwa dv 2 ya 12 especially coz ya Bachelor of Science in Agricultural and natural resources economics and business administration?
Nimesoma xana kuna kozi nyingi zinaruhusu uwe Na admission point 4 Na mm tyar ninazo, sema Nina wacwac kutemwa ndo maana nikaomba uxhauri wenuKasome TCU guide book
Kwahyo cpati kbxa hta ka nikiapply ety?hna sifa.... remember bachelor of science
Habar zenu wakuu? Hvi kwel naweza kwenda kusoma Udsm kwa dv 2 ya 12 especially coz ya Bachelor of Science in Agricultural and natural resources economics and business administration?
Nackia hata Ud hii coz iko vzr Na Admission point yake inaniruhusu kwnda pale au udsm hawachukui dv 2 za 12?Hii kozi UDSM wapo competent kweli? Kwanini usiombe SUA kama una interest kwenye fani hiyo? Au SUA competition ni intense zaidi?
Ultaka kuxhangaa nn mkuu? Au cna sifa ya kwnda pale?Nilitak kushangaa
Walimu ni walewale wa SUAHii kozi UDSM wapo competent kweli? Kwanini usiombe SUA kama una interest kwenye fani hiyo? Au SUA competition ni intense zaidi?
Kuwa na minimum qualification haikupi uhakika wa kupataNimesoma xana kuna kozi nyingi zinaruhusu uwe Na admission point 4 Na mm tyar ninazo, sema Nina wacwac kutemwa ndo maana nikaomba uxhauri wenu
Kweli elimu ya Tanzania imekua janga, yaani form6 umemaliza alafu kuandika hujui mbaya zaidi umepata division 2 na unataka kwenda chuo!! kazi ipo!!Nimesoma xana kuna kozi nyingi zinaruhusu uwe Na admission point 4 Na mm tyar ninazo, sema Nina wacwac kutemwa ndo maana nikaomba uxhauri wenu
Dah mkuu vijana wetu hawa wa miaka hii tabu tupu ila mi anafikiri angeachwa tuu ajaribu ili ajionee mwenyewe hali halisi kuhusu competition ilivyo.Shida ya wanafunzi wengi mnataka kusoma kwa show off, mnang'ang'ania course zilizowazidi vigezo, mtu anang'ang'ana asome UDSM au SUA wakati matokeo mabovu.
Bad enough umesoma HGE, hesabu hukusoma bado unataka course za science, are you serious? ,ww wa HGE ungesoma BBA,BAEC etc ungefanya vzur zaidi.
mbona kozi yake Tz haipo( Administration haipo)Hii kozi UDSM wapo competent kweli? Kwanini usiombe SUA kama una interest kwenye fani hiyo? Au SUA competition ni intense zaidi?
May be kajichanganya tu.