Waufukweni
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 4,393
- 14,500
Msemaji wa Jeshi la Polisi, Naibu Kamishna wa Polisi (DCP) David Misime, amesema kuwa Serikali imeviwezesha vyombo vya ulinzi na usalama vifaa vya kutosha na vya kisasa kwa ajili ya kukabiliana na watu wanaopanga au kuhamasisha vitendo vya uhalifu nchini.
Soma: DCP Misime: Tuwakemee wanaohamasisha uhalifu
DCP Misime amesema Jeshi la Polisi halitasita kuwachukulia hatua kali za kisheria wale wote wanaojihusisha na vitendo vya uchochezi au kujaribu kuhamasisha wananchi kuvunja amani.
Soma: DCP Misime: Tuwakemee wanaohamasisha uhalifu
DCP Misime amesema Jeshi la Polisi halitasita kuwachukulia hatua kali za kisheria wale wote wanaojihusisha na vitendo vya uchochezi au kujaribu kuhamasisha wananchi kuvunja amani.