GE2025 DCP Misime: Mchakato wa uchaguzi unaendelea vizuri, nchi inaendelea vizuri

GE2025 DCP Misime: Mchakato wa uchaguzi unaendelea vizuri, nchi inaendelea vizuri

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

DuaZaMama

JF-Expert Member
Joined
Jun 2, 2025
Posts
1,882
Reaction score
4,129
Akizungumza katika kipindi cha Malumbano ya hoja cha ITV Oktoba 9, 2025 msemaji wa jeshi la Polisi nchini David Misime amekuwa kuwa katika kipindi cha uchaguzi na mchakato wake kunaendelea vizuri na kwa ujumla hali ya nchi iko vizuri na usalama wakutosha.

Kwa lugha Rahisi msemaji yeye haoni utekaji wala vurugu kiufupi tupo nchi ya ahadi.
 
Back
Top Bottom