Jukumu la ulinzi na usalama wa Tanzania, ni la watanzania wenyewe. Kila mtanzania na hasa kila mzalendo na kila mjamaa. Hapa wakija, jitetee, ukisubiri DCI, inakula kwako. Ndiyo maana kila siku wanalia na wananchi wenye hasira kali, kwani wananchi wanajichukulia sheria ili kujilinda wenyewe.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.