shaban lee
JF-Expert Member
- Jul 17, 2015
- 311
- 926
Sio kwasa... Ni lile la pale Mahuu kwa ajili ya MachingaSoko lipi, kwaasa? Kuna viongozi wa soko, hawajielew
Toka wamezindio na Mwenge mwaka jana... Hakuna chochote kilichoendelezwa.... Kulikoni?
Sio kwasa... Ni lile la pale Mahuu kwa ajili ya MachingaSoko lipi, kwaasa? Kuna viongozi wa soko, hawajielew
Mbaya zaidi lipo chini ya nyaya za grid ya Taifa,pembeni kuna korongo kubwaaaaaaaSio kwasa... Ni lile la pale Mahuu kwa ajili ya Machinga
Toka wamezindio na Mwenge mwaka jana... Hakuna chochote kilichoendelezwa.... Kulikoni?
Kwani DC anafungu gani la kuleta maendeleo kama sio porojo tu.Akwende zake.Amekuja ile wilaya, mchango wake umeonekana katika kuhamasisha maendeleo ya miundo mbinu, ujenzi wa keep left, vilevile kama ni mtu mwenye akili, unaona future plans zake tu. Ni mtu anayetaka ku-weka a mark to remember
Na n hatari kubwa sana..... Ile wangeachaa kama open space nyinginezo tu.......Mbaya zaidi lipo chini ya nyaya za grid ya Taifa,pembeni kuna korongo kubwaaaaaaa
Yaani hawa jamaa hawajielewi kabisa,waliulaza pale Mwenge usiku kucha,mpaka leo hakuna kilichofanyika,huu mwenge tukisema ulazwe makumbusho watu wanabisha,miradi fake kibaooooo
Fursa? Kwa hali hilee ndugu yangu hata ww nikwambiee uende saiv palee utafunguaa kituWafanyabiashara wamepewa fursa wameshindwa kuitumia
Sawa mkuu hlo ndo la msingi... MaboreshoMkuu Waangalie namna ya kupaboresha, hata kutumia sharia,
NB:MIMI NASIFU JUHUDI ZA DC SINA UKARIBU NAE.
Yeah, hujakosea.Cassio alikua ni mwalimu wa hesabu same sekondari? Au nimemchanganya