goodfool
JF-Expert Member
- Oct 11, 2016
- 1,668
- 996
Hamjambo,,
Kwa ufupi tu, huyu dada Hapendi maneno mengi, ni mtendaji, mchapa kazi, hana mambo ya akina ALLY HAPPY,
Nilimsikiliza siku moja wakati nipo ziarani huko Kilimanjaro, ana future, she is positive minded.
Ana plans pana, endelevu, na ni muwazi, si mtu wa kujiboost, kuna watu wanafanya mambo kwa kuonekana ila sio DC HUYU.
Rais hata ukibadilisha badilisha ma dc kama ufanyavyo kwa wizara muache huyu atulie hapo
WASALAM.
