DC Ole Sabaya: Wilaya ya Hai haitakuwa uwanja wa majaribio ya kisiasa tena

Ujinga na upumbavu ni sehemu ya uongozi wa CCM
 
DC Sabaya ni kati ya wkuu wa wilaya wapumbavu kuwahi kutokea katika nchi hii Tangu Uhuru,anahitaji elimu ya uraia kuelewa misingi ya haki na demokrasia,hicho cheo alichonacho wamepita wengi sana na yeye keshokutwa anapita lakini kwa uzwazwa wake anahisi atakuwa DC milele
 
Nronga ndio unaenda na kamati tendaji ya chadema?
Pumbavu sana wewe na dc wako! Mwambie akawazuie wamasai Koko wenzake wanaorandaranda mbugani na waiojijiua kuwa wao ni wa Kenya ama watanzania! Asijione anajua Sana kuliko wenye wilaya yake!
 
Alikuwa kipofu, anajifanya anajua kumbe hajui chochote. Mbowe ni kama baba yake, Mbowe amekuwa mwanasiasa kabla anazaliwa, mbowe amemzidi kwa kila kitu afu unajifanya kujua dhidi yake?

Tumsamehe kwani umri ulimponza
Lakini aliaminiwa na Rais
 
Reactions: BAK
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…