Ujinga na upumbavu ni sehemu ya uongozi wa CCMAkizungumza Na Wazee 300 wa wilaya Ya Hai nyumbani kwake Uzunguni Bomang'ombe DC Sabaya Ametangaza onyo Kali dhidi ya Wahalifu wa kisiasa ambao kwa mara zote wamekuwa wakiitumia wilaya Hio Kama sehemu ya kujipatia umaarufu wa kisiasa kwa kufanya siasa za kihalifu ili wapate kiki.
Ole Sabaya Ametoa Onyo ilo la mwisho dhidi ya Wahalifu,Hili linawadia Siku chache baada ya Kukamatwa kwa Mbunge wa Arusha Mjini Lema ambae alikutwa akipanga uhalifu katika nyumba moja uko Dorcas Bomang'ombe Hai Kisha kuruka ukuta baada ya kuona polisi,
Tayari Ole Sabaya alishawashikilia Wahalifu wa kisiasa wakiwemo Mashinji,Owenya na wengine wengi ambao walijaribu kuleta taharuki wilayani humo.
View attachment 1271868
Pumbavu sana wewe na dc wako! Mwambie akawazuie wamasai Koko wenzake wanaorandaranda mbugani na waiojijiua kuwa wao ni wa Kenya ama watanzania! Asijione anajua Sana kuliko wenye wilaya yake!Nronga ndio unaenda na kamati tendaji ya chadema?
Tunawaachia wenyewe? Akina nani?. Kama ni uoga ni wako, acha wengine wajadili, wewe baki na apathy yako.
lakini aliaminiwa na JPMJambazi mkubwa huyu
Lakini aliaminiwa na RaisAlikuwa kipofu, anajifanya anajua kumbe hajui chochote. Mbowe ni kama baba yake, Mbowe amekuwa mwanasiasa kabla anazaliwa, mbowe amemzidi kwa kila kitu afu unajifanya kujua dhidi yake?
Tumsamehe kwani umri ulimponza
Lakini mbona chadema bado ipo ?Magufuli alituua sana wanachadema kwa kumtumia Sabaya na Bashite.
Lengo ni kumfuraisha Magufuli,kuifuta chademaLakini aliaminiwa na Rais
Shetani hajawahi kumshinda Mungu , huwa unasema mkuu.Lakini mbona chadema bado ipo ?
Siasa za Chuki zimemponza SabayaMagufuli alituua sana wanachadema kwa kumtumia Sabaya na Bashite.