GE2025 DC Msando: Oktoba 29 imetangazwa kuwa siku ya uchaguzi, hivyo ni marufuku kuandamana kwa kigezo cha kudai haki

GE2025 DC Msando: Oktoba 29 imetangazwa kuwa siku ya uchaguzi, hivyo ni marufuku kuandamana kwa kigezo cha kudai haki

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Mafyangula

JF-Expert Member
Joined
Jan 16, 2025
Posts
505
Reaction score
887
Huyu jamaa naye anamikwara sana!
====================
Mkuu wa Wilaya ya Ubungo, Mhe. Albert Msando, amesema serikali haitatoa kibali chochote cha maandamano siku ya kupiga kura, Oktoba 29, 2025, akisisitiza kuwa siku hiyo imetengwa mahsusi kwa ajili ya wananchi kushiriki katika zoezi la uchaguzi mkuu.

Amesema hayo leo, Ijumaa Oktoba 24, 2025, katika Kongamano la Vyuo na Vyuo Vikuu lililofanyika kwenye Ukumbi wa Ubungo Plaza

“Niwahakikishie kwa niaba ya serikali, kwanza msitishiwe. Wapuuzieni wanaowajaza hofu wananchi. Jiepusheni na kuwa chanzo cha ghasia ama vurugu, na zaidi niwahakikishie tutawadhibiti wale wote wanaopanga kuleta vurugu. Nisisitize, Oktoba 29 imetangazwa kuwa siku ya uchaguzi, hivyo ni marufuku kuandamana kwa kigezo cha kudai haki ya kikatiba. Hakuna haki inayovunja haki nyingine — uchaguzi ni suala la kikatiba,” amesisitiza Msando.
 
Mkuu wa Wilaya ya Ubungo, Mhe. Albert Msando, amesema serikali haitatoa kibali chochote cha maandamano siku ya kupiga kura, Oktoba 29, 2025, akisisitiza kuwa siku hiyo imetengwa mahsusi kwa ajili ya wananchi kushiriki katika zoezi la uchaguzi mkuu.

Amesema hayo leo, Ijumaa Oktoba 24, 2025, katika Kongamano la Vyuo na Vyuo Vikuu lililofanyika kwenye Ukumbi wa Ubungo Plaza

“Niwahakikishie kwa niaba ya serikali, kwanza msitishiwe. Wapuuzieni wanaowajaza hofu wananchi. Jiepusheni na kuwa chanzo cha ghasia ama vurugu, na zaidi niwahakikishie tutawadhibiti wale wote wanaopanga kuleta vurugu. Nisisitize, Oktoba 29 imetangazwa kuwa siku ya uchaguzi, hivyo ni marufuku kuandamana kwa kigezo cha kudai haki ya kikatiba. Hakuna haki inayovunja haki nyingine — uchaguzi ni suala la kikatiba,” amesisitiza Msando.
Faki ze mazafaka! He’s an embarrassment to the legal profession!
 
nimekumbuka kuna jirani yetu alikua na demu mkali sana sasa akawa amfungia ndani kwa kitasa ili asitoke nje tusihe kumla.

Guess what was happened?

Hicho ndo wanakifanya SSM sasa hv
 
Mtu wa hovyo
sana!

Yeye analinda ugali wake ajiiandae kwa kilio
 
Back
Top Bottom