Waufukweni
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 4,393
- 14,500
Mkuu wa Wilaya ya Ubungo mkoani Dar es Salaam, Wakili Albert Msando, amewataka wananchi wa wilaya hiyo na Watanzania kwa ujumla kuondoa hofu kuhusu taarifa za uwepo wa maandamano Oktoba 29, akisisitiza kuwa siku hiyo kutakuwa na amani na shughuli zitaendelea kama kawaida.
Soma: DC Msando: Hakuna atakayeleta Nyonyonyoo Oktoba 29, halafu tumuangalie tu!
Msando amesema Serikali imejipanga kikamilifu kuhakikisha ulinzi na usalama wa raia pamoja na mali zao.
Aidha, Msando amesema hakuna Mtanzania atakayeandamana, kwani wanaotoa vitisho mitandaoni ni mtu mmoja anayemiliki kurasa nyingi kwa majina tofauti, na hata hayupo nchini.
Amesema lengo lake ni kuwakatisha tamaa wananchi ili wasijitokeze kupiga kura.
Soma: DC Msando: Hakuna atakayeleta Nyonyonyoo Oktoba 29, halafu tumuangalie tu!
Msando amesema Serikali imejipanga kikamilifu kuhakikisha ulinzi na usalama wa raia pamoja na mali zao.
Aidha, Msando amesema hakuna Mtanzania atakayeandamana, kwani wanaotoa vitisho mitandaoni ni mtu mmoja anayemiliki kurasa nyingi kwa majina tofauti, na hata hayupo nchini.
Amesema lengo lake ni kuwakatisha tamaa wananchi ili wasijitokeze kupiga kura.