DC Ludewa: Waliosusia kikao changu wakamatwe

DC Ludewa: Waliosusia kikao changu wakamatwe

Watawala

Ndio maana wananchi walitaka vyeo vya kizezeta hivi vifutwe. Wananchi wanateseka kulipa kodi kwa ajili ya kuwahudumia hawa umbwa halafu yeye anakuja kuwaletea vitisho vyake vya kiQUMER? Mpuuzy kabisa!
Mkuu habari za siku nyingi?
 
Kama huna mvuto na wananchi hawakutaki unataka waje kupoteza muda wao kukusikiliza!? Mwenzio alikua anawavutia wananchi kwa kuwaletea matamasha ya bure alafu humo humo katikati ya tamasha unatema Pumba zako. Qwi Qwi Qwi........
 
Wewe naye ni kituko kweli wala hujui nchi inavyoongozwa. Toka mmelpgwa na chadema Basi mmekuwa wa kulalamikia watumishi wa serikali hata pale wanapotekeleza majukumu yao
Kwa mujibu wa katiba ya ccm , mkuu wa wilaya ni mjumbe wa kamati ya siasa ya wilaya ya ccm .
 
Akizungumza katika eneo la tukio mkuu huyo wa wilaya ameeleza kusikitishwa kwake na kitendo cha wananchi kususia vikao vya maendeleo vinavyoitishwa na serikali ambapo ikitokea tatizo au mradi ukiwa unafanyika katika eneo lao wanakuwa wa kwanza kulalamika kwamba hawashirikishwi.

“Naagiza wananchi wa kitongoji hiki wakamatwe majumbani hadi walipe faini, haiwezekani tuitishe kikao cha kujadili maendeleo yanayowahusu na wao washindwe kujitokeza hii siyo dalili nzuri katika kuwashirikisha mambo yanayowahusu” Amesema Tsere.

Aidha tangu ateuliwe kushika wadhifa huo wa ukuu wa wilaya , Bw. Tsere amekuwa akifanya ziara katika maeneo mbalimbali kwa ajili ya kusikiliza kero za wananchi na kuzipatia ufumbuzi jambo ambalo amesisitiza ushirikiano kutoka kwa wananchi kwani kazi hizo anafanya kwa ajili yao.
 
DUH....HEHEHE WAMEMCHOKOZA MKUU...NORTH KOREAN STYLE

OVA
 
Wananchi tuwe makini tusiwe watu wa kulaumu , tuhudhurie vikao kama hivyo tuchangie kuliko kusubiri liharibike ndio kuanza kuandika barua kwa Mkuu wa Wilaya.
 
Sasa akianzisha bifu na wenye inchi hatima yake nn. Atumie diplomasia
 
Wahudhurie vikao ili waache kufanya kazi?
Aitishe vikao muda usio wa kazi.
Hapa kazi tu.
 
NDIO UBAYA WA KUKOSA SEMINA ELEKEZI,

YANI HAJIULIZI HATA TIME ANAYOWAITA MDA HUO WANAKUA WAPI?
 
Ama kweli hii sasa ni Tanzania Secondary School. Na wakikamatwa wasiishie faini, awasiliane na aliyewahi kuwa DC huko Bukoba, yeye aliamua kuwacharaza mboko walimu. Bado naamini katika semina elekezi hata kama siyo lazima zifanyike Ngurdoto.
 
Watu wameambiwa wafanye kazi yeye anaitisha vikao. Kuna sheria inasema ni lazima kuhudhuria vikao? JPM aachane na huyu mtu mapema kabisa!
 
Atakuwa anaumwa huyo. Hata kama ni kutafuta sifa hazitafutwi hivyo.!
Mkuu wa wilaya ya Ludewa Bw. Andrea Tsere ametoa agizo la kukamatwa kwa wananchi wa kitongoji cha Ngalawale wilayani humo kwa kususia kikao cha mkuu huyo wa wilaya.

Mkuu wa Wilaya ya Ludewa Mkoani Njombe Andrea Tsere
Akizungumza katika eneo la tukio mkuu huyo wa wilaya ameeleza kusikitishwa kwake na kitendo cha wananchi kususia vikao vya maendeleo vinavyoitishwa na serikali ambapo ikitokea tatizo au mradi ukiwa unafanyika katika eneo lao wanakuwa wa kwanza kulalamika kwamba hawashirikishwi.

“Naagiza wananchi wa kitongoji hiki wakamatwe majumbani hadi walipe faini, haiwezekani tuitishe kikao cha kujadili maendeleo yanayowahusu na wao washindwe kujitokeza hii siyo dalili nzuri katika kuwashirikisha mambo yanayowahusu” Amesema Tsere.

Aimbali kwa ajili ya kusikiliza kero za wananchi na kuzipatia ufumbuzi jambo ambalo amesisitiza ushirikiano ku
 
Niache kutafuta hela niende kwenye mkutano wanagawa hela huko,,,

Halafu mikutano imeruhusiwa kwa walioshinda uchaguzi yeye ameshinda jimbo gani
 
Hivi huyu Tsere ni mtoto wa Mzee Tsere,aligombea Ubunge Jimbo la Karatu 2005 na baadae akawa Mkuu wa Wilaya ya Ilala?
Ndio hiyo ndio shida ya kuwapa fadhila! Huyo dogo ndio wale wale! Baba yake sasa yuko Malawi ni Balozi huko! Hizo ni fadhila......hamna kitu kichwani!! Nguvu haijawahi kushinda kwenye demokrasia!! Ushawishi tu kwa wananchi ndio silaha pekeee
 
HUYO MKUU WA WILAYA NI KITUKO CHA MWAKA..

OVA
 
Having the authority to take people behind bar for 48hours does not give you the authority to do what she is saying......i pity her because when those people unleash litigation against her action they are going to win as it is not mandatory for the people to attend such meetings
You are ironically right to call him her!!!!
 
2020 ataenda kuwapigia magoti kumuombea mkulu kura. Watch out
 
Kwa mujibu wa katiba ya ccm , mkuu wa wilaya ni mjumbe wa kamati ya siasa ya wilaya ya ccm .[/QUOT]
Japo si lazima ila ndivyo ilivyo kwa baadhi ya wakuu wa wilaya. Tatizo lipo wapi ambapo shaka yako ilipo
 
Back
Top Bottom