lutamyo
JF-Expert Member
- Apr 13, 2011
- 641
- 159
Wajameni tuwe waangalifu kwenye jambo hili. Mwislamu kuolewa na mkristo hakummfanyi mwislamu kuwa automatically mkristo kwani hata huko kanisani zipo ndoa za mchanganyiko wa dini au madhehebu. Ili tuweze kuwa na uhakika kama kweli ni mkristo tulete vithibitisho kwamba alibatizwa (mahali, na mbatizaji wake) na jina lake la ubatizo. Kwa kifupi tutafute cheti chake cha ubatizo au watu wanaomjua fika kwamba ni mkristo na jina lake linafahamika. siyo hizi ngonjera za kusema kaolewa na mkatoliki kwa hiyo naye ni mkatoliki.
Kwa uelewa wangu huu katika kanisa katoliki hakuna ndoa inayoweza fungwa kanisani mpaka mtu awe mkatoliki kwa kufuata taratibu zote hivyo mama alibadili dini kumfata mzee kwa ubatizo, komnio na kipaimara then sakramenti ya ndoa upo hapo katoliki si kama madhehebu mengine ya kikristo au kiislamu mfumo wake mgumu sana. KUBALI TU MLIKURUPUKA KAMA MLIVYOZOEA