DC Arusha atamani mkurugenzi wa jiji Arusha awe RC

Jembe Jembe

JF-Expert Member
Jun 9, 2016
749
1,797
Mkuu wa wilaya ya Arusha,Gabriel Daqaro amekunwa na utendaji kazi wa mkurugenzi wa jiji la Arusha,dr.Maulid Madeni kutokana na kasi yake ya kuppandisha mapato ya serikali na kusimamia vema elimu katika jiji hilo na kupelekea jiji la Arusha kuwa kinara kati ya majiji yote nchini.

Kwa kasi hii natamani hata leo Dr. Madeni awe mkuu wa mkoa wa Arusha.
Daqaro ametoa ya Moyoni katika hafla ya kuwapongeza walimu wa shule za msingi za jiji hilo waliofanikisha jiji hilo kuwa kinara wa elimu kitaifa, iliyofanyika katika ukumbi wa AICC jiji hapa .

Alisema ushirikiano uliopo kati yake na mkurugenzi huyo umeongeza jitihada za mafanikio hayo kwa jiji la Arusha na kuongeza kuwa wilaya anayoiongoza ya Arusha mjini itaendelea kuwa bora daima.
IMG_20191101_181931_9.jpeg
IMG_20191101_172332_3.jpeg
 
Kama amesema hivyo atakuwa amekosea kwa sababu yeye si mamlaka ya uteuzi. At least asingetaja mkoa!
 
Kama amesema hivyo atakuwa amekosea kwa sababu yeye si mamlaka ya uteuzi. At least asingetaja mkoa!
Hapana. Hujakosea. Uchunguzi usio na mashaka ni ule unaofanywa na Afisa wa Usalama wa taifa. Hvyo kauli yake inamuongoza mkuu wa nchi kuzingatia.
 
Hapana. Hujakosea. Uchunguzi usio na mashaka ni ule unaofanywa na Afisa wa Usalama wa taifa. Hvyo kauli yake inamuongoza mkuu wa nchi kuzingatia.
Usalama wa Taifa hapashwi kutaja publically yeye anatakiwa kupeleka info tu. Pia kumbuka sasa anahudumu kama DC
 
Mkuu wa wilaya ya Arusha,Gabriel Daqaro amekunwa na utendaji kazi wa mkurugenzi wa jiji la Arusha,dr.Maulid Madeni kutokana na kasi yake ya kuppandisha mapato ya serikali na kusimamia vema elimu katika jiji hilo na kupelekea jiji la Arusha kuwa kinara kati ya majiji yote nchini.

"Kwa kasi hii natamani hata leo Dr. Madeni siku moja awe mkuu wa mkoa usimdharau aliye chini ".
Daqaro ametoa ya Moyoni katika hafla ya kuwapongeza walimu wa shule za msingi za jiji hilo waliofanikisha jiji hilo kuwa kinara wa elimu kitaifa, iliyofanyika katika ukumbi wa AICC jiji hapa .

Alisema ushirikiano uliopo kati yake na mkurugenzi huyo umeongeza jitihada za mafanikio hayo kwa jiji la Arusha na kuongeza kuwa wilaya anayoiongoza ya Arusha mjini itaendelea kuwa bora daima.
IMG_20191101_181931_9.jpeg
IMG_20191101_182728_0.jpeg
IMG_20191101_172337_1.jpeg
 
Kitendo walichokifanya Cha kuwapongeza walimu ni kizuri zaidi kuliko maneno hayo. Wamefanya vizuri Sana. Naamini Arusha mjini itaendelea kuwa kinara katika matokeo ya mitihani ya kitaifa.
 
Mkuu wa wilaya ya Arusha,Gabriel Daqaro amekunwa na utendaji kazi wa mkurugenzi wa jiji la Arusha,dr.Maulid Madeni kutokana na kasi yake ya kuppandisha mapato ya serikali na kusimamia vema elimu katika jiji hilo na kupelekea jiji la Arusha kuwa kinara kati ya majiji yote nchini.

Kwa kasi hii natamani hata leo Dr. Madeni awe mkuu wa mkoa wa Arusha.
Daqaro ametoa ya Moyoni katika hafla ya kuwapongeza walimu wa shule za msingi za jiji hilo waliofanikisha jiji hilo kuwa kinara wa elimu kitaifa, iliyofanyika katika ukumbi wa AICC jiji hapa .

Alisema ushirikiano uliopo kati yake na mkurugenzi huyo umeongeza jitihada za mafanikio hayo kwa jiji la Arusha na kuongeza kuwa wilaya anayoiongoza ya Arusha mjini itaendelea kuwa bora daima.
View attachment 1251063View attachment 1251066
Uchonganishi
 
Gambo ana siasa za kishamba sana, ana kiburi na majivuno mno alitaka awe kama Bashite huko Dar awamiliki na kuwaamrisha watendaji anavyo taka, amekutana na huyu DC ame KOMA, yaani hathubutu umleyea upumbavu mjini..
 
Hivi huyu Gambo akiwa DC Korogwe si alimtukana mwanasheria wa wilaya ana degree ya chupi? Alihojiwa na tume ya maadili ya viongozi wa umma. Baadae Rais Kikwete akatengua uteuzi wake. Rais Magufuli kamuibua kwa lipi jipya alilonalo huyu mlafi wa vyeo?
 
Huyu jamaa ana bifu kali sana na Gambo. Halafu anajiamini kwasababu ni TISS na alishawahi kuwa mlinzi wa Rais. Ndio maana siku hizi Gambo kanyong'onyea na kulegea utadhani mlenda. Acha yamkute tu si alimfanyia Lema figisu akakaa rumande miezi kadhaa.
Huyu DC hana siku nyingi. Tuliyasema kwa CAG Assad na tunayasema kwa huyu.
 
Back
Top Bottom