chakii
JF-Expert Member
- Sep 15, 2013
- 21,369
- 27,785
Habari wana Jamii Forums.
Leo kutakuwa na shughuli kubwa ya uzinduzi wa Dayosisi mpya ya Ruvuma.
Mkuu wa kanisa la KKKT Dr. Alex Malasusa akiambatana na maaskofu kutoka dayosisi mbalimbali nchini pamoja na wachungaji, wainjilisti na watumishi wengine wanashiriki uzinduzi huu, mchungaji Amon Joel Mwenda anategemewa kusimikwa kuwa Askofu wa dayosisi hii mpya ya Ruvuma.
Mh. Waziri Mkuu Mizengo Peter Pinda anategemewa kuwa mgeni rasmi kwenye uzinduzi huu.
Leo kutakuwa na shughuli kubwa ya uzinduzi wa Dayosisi mpya ya Ruvuma.
Mkuu wa kanisa la KKKT Dr. Alex Malasusa akiambatana na maaskofu kutoka dayosisi mbalimbali nchini pamoja na wachungaji, wainjilisti na watumishi wengine wanashiriki uzinduzi huu, mchungaji Amon Joel Mwenda anategemewa kusimikwa kuwa Askofu wa dayosisi hii mpya ya Ruvuma.
Mh. Waziri Mkuu Mizengo Peter Pinda anategemewa kuwa mgeni rasmi kwenye uzinduzi huu.