guzman_
JF-Expert Member
- Jan 27, 2016
- 1,276
- 2,435
Wakuu, sasa litakalo kuwa na liwe.
Mimi ni mkazi wa wilaya ya Ubungo. Sasa ni takribani siku ya 11 (wiki 2) hakuna maji wilaya hii from mbezi mwisho mpaka huku msewe, hadi ubungo mabibo Binafsi nimeenda kwenye idara ya maji nimejibiwa majibu ya kunya sana (ETI WEWE NI NANI MPAKA UJE UULIZE KWA NINI HAKUNA MAJI?). Uzuri nimewarekodi wote waliokuwa wananijibu fyatu. Nimempigia manager wa Dawasco, naye ni walewale majibu ni ajabu ajabu. eti kama hakuna maji unanipigia nifanyaje (ninaoushaidi wa majibu haya ya hovyo). Leo nimempigia katibu mkuu wizara ya maji (Hajapokea simu yangu).
Hivi sisi watanzania shida yetu ni nini hasa: What if ukawapa taarifa wananchi sababu zinazofanya mkate maji kwa muda huu wote. Hapa nilipo nauziwa dumu moja la maji 1000.
Sijachoka kesho nikitoka kwenye kutafuta mkate wa kila siku nitakujeni kuwakumbusha tena.
Na hawa wabunge wetu wao wanakula kuku dodoma na vimwana, hakuna shida 2020 tutaelewana.
Jamaa tunaopata hii adha tupaze sauti hawa DAWASCO huenda nao wakawa wamehamia Dodoma
Mimi ni mkazi wa wilaya ya Ubungo. Sasa ni takribani siku ya 11 (wiki 2) hakuna maji wilaya hii from mbezi mwisho mpaka huku msewe, hadi ubungo mabibo Binafsi nimeenda kwenye idara ya maji nimejibiwa majibu ya kunya sana (ETI WEWE NI NANI MPAKA UJE UULIZE KWA NINI HAKUNA MAJI?). Uzuri nimewarekodi wote waliokuwa wananijibu fyatu. Nimempigia manager wa Dawasco, naye ni walewale majibu ni ajabu ajabu. eti kama hakuna maji unanipigia nifanyaje (ninaoushaidi wa majibu haya ya hovyo). Leo nimempigia katibu mkuu wizara ya maji (Hajapokea simu yangu).
Hivi sisi watanzania shida yetu ni nini hasa: What if ukawapa taarifa wananchi sababu zinazofanya mkate maji kwa muda huu wote. Hapa nilipo nauziwa dumu moja la maji 1000.
Sijachoka kesho nikitoka kwenye kutafuta mkate wa kila siku nitakujeni kuwakumbusha tena.
Na hawa wabunge wetu wao wanakula kuku dodoma na vimwana, hakuna shida 2020 tutaelewana.
Jamaa tunaopata hii adha tupaze sauti hawa DAWASCO huenda nao wakawa wamehamia Dodoma