mirindimo
JF-Expert Member
- Nov 2, 2009
- 1,034
- 2,126
Yaani wiki 4 zilizopita niliwapost hapa immediately wakafungua maji sasa tukienda hivi tutakua hatufiki jamani,wao wana magari wanatuunzia ndoo 1 shilingi 500 sijui ndio hela ya uchaguzi inatafutwa kwa nguvu....huduma ambayo ilitakiwa kutolewa free ndio imekua ghali sana kuipata na hapa hapa Dar kuna watu hawajawahi kabisa katiwa maji kwani kuna watu wanaostahili kupata na wasio sathili kupata ? kisingizio ilikua mvua zimeharibu miundo mbinu,sasa hivi sijui watasemaje maji yamekua machafu sana ama ni nini ? Tuoneeni huruma sisi wananchi wa CCM jamani mtatuua mtaani hali mbaya watu ni kuugua typhoid kwa sana dengue ishapigwa gepu.....maana maji tunayotumia ni balaaa !