Rufiji dam
JF-Expert Member
- Feb 20, 2020
- 3,801
- 8,782
Wakazi wa Kibamba delini, Kibwegere tunalalamikia DAWASA Kimara kwa kushindwa kuturekebishia bili za maji ambazo wametubambika tofauti na bili halisi, tumelalamika zaidi ya miezi 8 sasa hakuna ufumbuzi, matokeo tunashindwa kulipa bili halisi na deni halieleweki, bili tunazotumiwa na mita inavyosoma vitu tofauti.
Tatizo si kwetu tu hadi Kibwegere, Hondogo. Waziri husika na hujuma hizi zifutilie.
Tatizo si kwetu tu hadi Kibwegere, Hondogo. Waziri husika na hujuma hizi zifutilie.