Jumaa gosso
Senior Member
- Sep 4, 2016
- 188
- 127
Habari wana Jf mm nikijana wa miaka 23 nimekuwa na tatizo la Unene hali hii kiukweli inanitesa sana
Kuna rafiki yangu amenipa ushauri ninunue dawa za kupunguza mwili je hizi dawa nikweli zinatibu au maana naogopa nikanunua mwisho wa siku nisione mafanikio yoyote. Ambae ameshawahi kutumia hizi dawa naomba anipe ushuhuda wake
Mwenye maoni au ushauri karibu
Kuna rafiki yangu amenipa ushauri ninunue dawa za kupunguza mwili je hizi dawa nikweli zinatibu au maana naogopa nikanunua mwisho wa siku nisione mafanikio yoyote. Ambae ameshawahi kutumia hizi dawa naomba anipe ushuhuda wake
Mwenye maoni au ushauri karibu