Dawa ya wanawake hii hapa

Dawa ya wanawake hii hapa

Hiyo ya stranger hiyo inanitatiza sana mtoto hataki hata kuja kumeet
 
Ucjal vikwazo ww km kwl mwanaume rijal unachotakiwa ni kukaza kamba 2 kwn akuna mkate mgumu mbele ya supu
 
Yaani huyo humu Hanaga jipya yeye kila thread anayoianzisha ni ya Wanawake wanawake 2 hanaga jipya. Nazani alichokitarajia JF sicho alichokikuta.!

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
wooooooooteeeee mliochangia hamna jipya coz kam mlijua threads ni mbovu haikuwa nahaja ya kuifungua na kukomenti inaonyesha hata nyie hizi mambo mnazipenda coz inaoonyesha kichwa kiliwavutia sanaa tehe tehe tehe samahani kam nime wakwaza but huo ndio ukweli...PEACE.......:yo:
 
tukikubali haraka maharage ya mbea
tukiweka vikwazo nayo shughuli
haya tupe hiyo dawa yetu basi!
m waitng!!!!!

 
Yona edson mbona threads zako hazibadiliki kila wakati ni yale yale tu(mara mbunye, mara............).

Kama vipi sio lazima kuanzisha thread, nisamehe kama nitakuwa nimekukwaza.

Sijui ni ujana unakusumbua? Ila mbona vijana wenzako hawako hivyo?

Labda wenzangu wanapenda threads zako?

Ila huo ndio USHAURI wangu kwako, utaamua mwenyewe kuufuata au kuuacha.
MBONA KAWAIDA
 
Yaani huyo humu Hanaga jipya yeye kila thread anayoianzisha ni ya Wanawake wanawake 2 hanaga jipya. Nazani alichokitarajia JF sicho alichokikuta.!

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
NIMEKUMISI SANA AISEE
 
Kwa maana Mungu aliumba ulimwengu, naye akaviweka Vito vya thamani vikiwemo, Lulu, rubi, Almasi, Niru, Dhahabu, Tanzanite n.k ili viupambe ulimwengu.
Navyo akaviweka katika maeneo hatari ya dunia ili watu wasiyapate kirahisi

Mwenye kusikia na Asikie na nwenye kuona atazame kwa maana hekima hii si kwa wapumbavh
 
Back
Top Bottom