Dawa ya wanawake hii hapa

Dawa ya wanawake hii hapa

Eddy Love

JF-Expert Member
Joined
Jul 25, 2011
Posts
13,655
Reaction score
8,584
Ki Roho SaFi JE WANAWAKE BADO WANAKUSUMBUA???- Embu tujadili leoWanawake ni watu wa vikwazo. Wenyewe wanasema wanaweka vikwazo ili kukupima kama una "mapenzi ya kweli". Unachotaka wewe ni kimoja. Kula mzigo. Maana inabidi ule mzigo kwanza, ndo ujue kama uendeleze mapenzi yawe ya kweli ... au upotezee. Au sio mzee?Ila yeye atakuwekea vikwazo kibao kama vifuatavyo:Niko kwenye periodNina boyfriend / mume / mchumbaNinaumwa (malaria/tumbo/-kichwa/n.k.)Mama yangu mgonjwaNiko bize na kaziNimeokoka nampenda Yesu! Mwanaume wangu ni Yesu tu!Wiki hii nina test (kwa wanavyuo)Mi sitaki mambo hayo, mpaka nimalize masomo nipate na kaziMi bado mdogoSitaki!!Nyumbani kwetu geti kali siwezi kutokaWewe sio mwanaume wa type yangu (mfupi sana/mweusi sana/mweupe sana/huna hela/n.k.)Mi sitoki/siongei na watu nisiowajua (strangers)Sijisikii kuwa na wewe / sikupendi!na kadhalikaJe ni mara ngapi umekwamishwa na mojawapo ya vikwazo kama hivyo hapo juu?
 
Yaani umeeleza magonjwa mwanzo mwisho hakuna dawa hata moja! Wenzio wataponaje sasa?
 
Yona mdogo wangu uliwahi kufikiria maudhui ya kuanzishwa JF kabla ya kujiunga? Uliwahi kufikiria inawalenga watu gani katika jamii? Mbona mitandao ya kijamii iko mingi sana kulingana na malengo, akili na maisha ya mtu?
 
Mkuu umehama key rudi kwenye mada ndo tutachangia
siyo kosa langu jf inatakiwa iboreshwe mfann kuedit upya au kufuta threads mpaka mods afanye hapo unafikiri utafanyaje
 
Yona mdogo wangu uliwahi kufikiria maudhui ya kuanzishwa JF kabla ya kujiunga? Uliwahi kufikiria inawalenga watu gani katika jamii? Mbona mitandao ya kijamii iko mingi sana kulingana na malengo, akili na maisha ya mtu?
pigia mstari
 
Inaonekana akili yako inawaza pichu/chini tu@ka-wa-mbwa
 
Yona edson mbona threads zako hazibadiliki kila wakati ni yale yale tu(mara mbunye, mara............).

Kama vipi sio lazima kuanzisha thread, nisamehe kama nitakuwa nimekukwaza.

Sijui ni ujana unakusumbua? Ila mbona vijana wenzako hawako hivyo?

Labda wenzangu wanapenda threads zako?

Ila huo ndio USHAURI wangu kwako, utaamua mwenyewe kuufuata au kuuacha.
 
Yona mdogo wangu uliwahi kufikiria maudhui ya kuanzishwa JF kabla ya kujiunga? Uliwahi kufikiria inawalenga watu gani katika jamii? Mbona mitandao ya kijamii iko mingi sana kulingana na malengo, akili na maisha ya mtu?

Yaani huyo humu Hanaga jipya yeye kila thread anayoianzisha ni ya Wanawake wanawake 2 hanaga jipya. Nazani alichokitarajia JF sicho alichokikuta.!

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
kwa hali hii nchi hii itaendelea kuwa maskini tunawa za kukanyagana tuuuuuuuuuuuuuuu
 
Dawa kaisema,'kula mzigo' yaan atoe sbb zote hz ila we kula mzigo, ila cjajua utaulaje wkt umekataliwa
 
HIVI WATU WANAWATOAJE MARAFIKI KWENYE face bool Kuna yona mwingine kule ananiboaga !
 
Back
Top Bottom