Dawa ya vidonda vya tumbo

Dawa ya vidonda vya tumbo

buffaro89

JF-Expert Member
Joined
Jul 12, 2016
Posts
592
Reaction score
378
1.chukuwa ukwaju na ujaze katika kidumu cha lita 5
2. weka maji mpaka yatakapo jaa, tia sukari kidogo kupunguza uchungu
3. subiri baada ya muda fulani hivi, ule uji uji uchanganyike na ukwaju iwe juice.
4. kunywa kama unakunywa maji ya kunywa, na tumbo lisiwe na kitu ndani yake/yaani usiwe umekula kitu chochote.
5. unaweza ukasikia maumivu lakini jikaze tuu, ndio kupona kunakuja.
6. utakuwa unabadilisha maji maana yatakuwa yanaisha katika kile kidumu,hivyo hivyo mpaka ule ukwaju umepukutisha radha yote.
7. usinywe maji ya kunywa unapo tumia, unywe ukwaju tuu,hata lita moja kwa mkupuo tena ukwaju ule mzito.
8. fanya hivyo siku zote mfululizo kama wiki hivi.
10. siku zinapo kwenda, utaanza kuona nafuu,
11. usinywe vitu vyenye asidi kari, kama soda, maembe,chungwa,nanasi, nk
12. baada ya miezi mitano ukiona hujisikii maumivu, test afya yako kwa kura maharage.
13. usiache kutumia ukwaju hata kama ni mara mojamoja!

binafsi, nilifanya hivyo na nilipona,na hata maharage ninakura, niliuguliwa takribani miaka 5, mfululizo! vidonda vya tumbo, ni mateso! lakini leo hii! imebakia kuwa ni historia!
 
Samahani, umesema jaza ukwaju kwenye kidumu cha lita tano. Sasa kama umeshajaza hayo maji yataingia wapi ilhali tayari ubuyu umeshajaa ndani ya dumu.? Pia ukwaji una tabia ya kukwangua iwe tumbo au ulimi,itakuwaje unywe sharubati ya ukwaju huku tumbo liko wazi?
 
Samahani, umesema jaza ukwaju kwenye kidumu cha lita tano. Sasa kama umeshajaza hayo maji yataingia wapi ilhali tayari ubuyu umeshajaa ndani ya dumu.? Pia ukwaji una tabia ya kukwangua iwe tumbo au ulimi,itakuwaje unywe sharubati ya ukwaju huku tumbo liko wazi?
jaribu kutumia mkuu! mimi nilipona kwa kutumia huo huo ukwaju! maji yakiisha katika kidumu, unakuwa unaongeza, mpaka upukutishe radha yake! acidi ya ukwaju ni dawa mkuu!
 
jaribu kutumia mkuu! mimi nilipona kwa kutumia huo huo ukwaju! maji yakiisha katika kidumu, unakuwa unaongeza, mpaka upukutishe radha yake! acidi ya ukwaju ni dawa mkuu!

Bado hujajibu hapo kwenye kujaza ukwaji kwenye chombo cha lita tano kisha tena ujaze maji!

Lakini pia, kwa nini kwenye chombo cha lita tano?
 
Bado hujajibu hapo kwenye kujaza ukwaji kwenye chombo cha lita tano kisha tena ujaze maji!

Lakini pia, kwa nini kwenye chombo cha lita tano?
nakupa njia nilizo zoea kuzifanya kisha nilipona! hata mimi nilitii mashalita bila kuuliza uliza! kwakuwa nilikuwa ninashida ya kupona! wewe hujawai umwa1 vidonda vya tumbo! ndio maana unauliza uliza! vitu visivyo kusaidia!
 
1.chukuwa ukwaju na ujaze katika kidumu cha lita 5
2. weka maji mpaka yatakapo jaa, tia sukari kidogo kupunguza uchungu
3. subiri baada ya muda fulani hivi, ule uji uji uchanganyike na ukwaju iwe juice.
4. kunywa kama unakunywa maji ya kunywa, na tumbo lisiwe na kitu ndani yake/yaani usiwe umekula kitu chochote.
5. unaweza ukasikia maumivu lakini jikaze tuu, ndio kupona kunakuja.
6. utakuwa unabadilisha maji maana yatakuwa yanaisha katika kile kidumu,hivyo hivyo mpaka ule ukwaju umepukutisha radha yote.
7. usinywe maji ya kunywa unapo tumia, unywe ukwaju tuu,hata lita moja kwa mkupuo tena ukwaju ule mzito.
8. fanya hivyo siku zote mfululizo kama wiki hivi.
10. siku zinapo kwenda, utaanza kuona nafuu,
11. usinywe vitu vyenye asidi kari, kama soda, maembe,chungwa,nanasi, nk
12. baada ya miezi mitano ukiona hujisikii maumivu, test afya yako kwa kura maharage.
13. usiache kutumia ukwaju hata kama ni mara mojamoja!

binafsi, nilifanya hivyo na nilipona,na hata maharage ninakura, niliuguliwa takribani miaka 5, mfululizo! vidonda vya tumbo, ni mateso! lakini leo hii! imebakia kuwa ni historia!
Aksante kwa darasa
 
ungekuwa unajielewa! ungekuwa unaleta story za kijinga! au unataka watu wajue kuwa kwenu mna TV!
sitaki wajue kwasababu sina.....
nimekuelewa doctar...hamchelewi kukimbilia albadili sku hizi.....
sitokujibu tena reply, akili zako bado ndogo sanaa kushindana kihoja namimi...huna upeo
 
sitaki wajue kwasababu sina.....
nimekuelewa doctar...hamchelewi kukimbilia albadili sku hizi.....
sitokujibu tena reply, akili zako bado ndogo sanaa kushindana kihoja namimi...huna upeo
ndio ubaya wa malezi ya siku hizi wazazi wanawalea vibaya!
 
Back
Top Bottom