Dawa ya vidonda mdomoni

mysara2011

Member
Sep 28, 2017
69
84
Jamani naomba mnisaidie dawa ya vidonda kwenye lipsi nimetumia dawa ya vitamin B complex na pia nilikunywa multi vitamin ila bado haviponi.Na kama kupima nimepima mpaka HIV wiki mbili zilizopita na nikaonekana salama ila ndo hivyo vidonda haviniishi.
 
Jamani naomba mnisaidie dawa ya vidonda kwenye lipsi nimetumia dawa ya vitamin B complex na pia nilikunywa multi vitamin ila bado haviponi.Na kama kupima nimepima mpaka HIV wiki mbili zilizopita na nikaonekana salama ila ndo hivyo vidonda haviniishi.
umeenda hospitali?

vipoje hivyo vidonda....ni vya duara vinaweupe pembeni au ni vyekundu kama mchubuko?
 
Jamani naomba mnisaidie dawa ya vidonda kwenye lipsi nimetumia dawa ya vitamin B complex na pia nilikunywa multi vitamin ila bado haviponi.Na kama kupima nimepima mpaka HIV wiki mbili zilizopita na nikaonekana salama ila ndo hivyo vidonda haviniishi.
Mimi huwa natumia Aloe vera, ile gel ya ndani napaka kwenye kidonda, kinakauka kwa mda mfupi sana.
 
Back
Top Bottom