Hiyo ni dawa ya UTI sugu, kwa ambaye anasumbuliwa sana au inamrudia mara kwa mara,basi achukue mahindi mabichi akate vipande pamoja na bunzi lake,mathalani mhindi mmoja waeza kata vipande vitatu au vinne
Kisha unakata na limao vipande kadhaa,kisha unachemsha kwa pamoja,kwa maana mahindi na limao,kisha maji yake ndio unakunywa na ndio dawa,waeza kunywa mara mbili kwa siku,kwa wastani wa siku nne au tano hivi