Dawa ya TBC ipo

Kwame Nkrumah

JF-Expert Member
Dec 2, 2008
886
376
Tumelalamika sana kuhusu jinsi chombo hiki cha umma kinavyoendeshwa. Tumeshuhudia jinsi gani mikutano isiyo na maana ya CCM inavyopewa nafasi kubwa kwenye taasisi hii. Takwimu za kupotosha ukweli, uandishi wa habari usio na viwango, kukosa habari zenye kusema ukweli kuhusu serikali na kwa ujumla kutokufanya kazi ambayo wamiliki wa taasisi hiyo [ yaani sisi] tulitegemea kutoka kwayo.
Jei hamna njia za kisheria, kikatiba kumaliza tatizo hili? Tumeshuhudia juzijuzi kamati ya bunge ya miundombinu imekataa bajeti ya wizara ya uchukuzi, je kamati ya mashirika ya umma inayoongozwa na Mh. Zitto inashindwa kuzuia bajeti ya wizara au bajeti ya taasisi hii? Kamati hii inaweza kutumia nguvu iliyonayo [ power of the purse ] kumaliza tatizo hili.
Tumesikia juzi Mh. ktk semina elekezi akiagiza mawaziri kutumia vilivyo vyombo vya habari kueleza mafanikio ya serikali, unafikiri sisi tutapata nafasi kweli?
 
Thats is what have been kwa vyombo vya habari vya kitaifa kwa nchi nyingi za Kiafrika. Huwa vinaanguakia zaidi kwenye chama tawala/serikali. Vyombo hivyo havifanya hivyo kwa sababu vina mapenzi na chama tawala. Ni jinsi system yenewe ilivyo. Hata itokee chama cha upinzani kama Chadema kichukue madaraka mambo yatakuwa yale yale.
 
Thats is what have been kwa vyombo vya habari vya kitaifa kwa nchi nyingi za Kiafrika. Huwa vinaanguakia zaidi kwenye chama tawala/serikali. Vyombo hivyo havifanya hivyo kwa sababu vina mapenzi na chama tawala. Ni jinsi system yenewe ilivyo. Hata itokee chama cha upinzani kama Chadema kichukue madaraka mambo yatakuwa yale yale.
You are right, lakini hatuwezi kuiacha hali hiyo iendelee, njaa, tamaa ya vyeo, ubinafsi vitaendelea kuwepo kwa gharama ya wanyonge
lakini tukifuata sheria sidhani kama itadumu. Nina uhakika hamna mahali popote katika sheria za nchi hii inatajwa kwamba 90% of news coverage itakua ni CCM TU.
 
hiki ni chombo cha serikali aka cha umma wa watanzania na wanatekeleza
matakwa ya serikali kwa hiyo ni vigumu sana wakawa kinyume na serikali
yao au kutangaza mabaya ya serikali
ili kiwe kinatoa habari za kweli ni lazima kwanza serikali ibadilike na ipate wachapa kazi kweli....
 
tatizo bongo hatupendani ni hilo tu ndo maana wanaamua kufanya wanajisikia
 
Waongoza vipindi wanaogopa kukutwa yaliyomkuta mkurugenzi aliyepita,nadhani ni maelekezo kutoka kwa mkurugenzi mpya
 
Back
Top Bottom