mchungupwani
Member
- Jun 2, 2015
- 13
- 2
Kipi kiswahili sahihi kati ya kusema dawa ya meno au dawa ya mswaki?
Kama ni dawa ya mswaki kwani mswaki unaumwa nini ? Kama ni dawa ya meno kwa nini ukienda hospitali ukiwa unaumwa meno hupewi colgeti.
Karibuni wadau!
Kama ni dawa ya mswaki kwani mswaki unaumwa nini ? Kama ni dawa ya meno kwa nini ukienda hospitali ukiwa unaumwa meno hupewi colgeti.
Karibuni wadau!