AbuuMaryam
JF-Expert Member
- Dec 26, 2015
- 2,536
- 4,513
Jamani ni dawa gani naweza msaidia mwanangu mafua maana nimemuona ana mafua...nahisi sababu ya mvua hizi...
Je naweza mpa dawa gani ya mafua ya watoto itakayomsaidia bila madhara...?
Ana kg 8 na kuendelea, alafu umri ni miez 6 kuelekea sita kasoro wiki 2
Je naweza mpa dawa gani ya mafua ya watoto itakayomsaidia bila madhara...?
Ana kg 8 na kuendelea, alafu umri ni miez 6 kuelekea sita kasoro wiki 2