Dawa ya kusafisha masofa

Dawa ya kusafisha masofa

sherida

Senior Member
Joined
Feb 15, 2017
Posts
133
Reaction score
194
Habari zenu wakuu naombeni anayeweza kunielekeza dawa ya kusafisha sofa za kitambaa .Nasikia kariakoo zipo Ila ndio sijui nikienda ntaulizia je na jina lake silijui,na he tuitumiaje. Ntashukuru kwa msaada wenu
 
Screenshot_20220310-215114_Facebook.jpg
 
Inauzwa 5000 tu ni kama spray tu huwa naitumia.
Nenda kariakoo mtaa wa Agrey na Likoma (kule kwenye maduka ya vifaa vya simu) kwenye hayo maduka ndio wanauza maana inatumika pia kusafishia vioo, vitu kama TV nk

IMG_20220425_192434.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom