Dawa ya kuponya sehemu za siri - wanawake

Dawa ya kuponya sehemu za siri - wanawake

kitivo

New Member
Joined
May 13, 2013
Posts
4
Reaction score
0
Dawa ya kuponya sehemu za siri – Wanawake

Habari wanajamii,

Wanasema kizuri share na wenzio.

Ninauza dawa maalumu ya asili, kwa ajili ya wanawake wenye matatizo ya sehemu zao kutoa maji machafu na harufu mbaya na kwa wale ambao baada ya kuzaa mara kadhaa, au sababu ya magonjwa ya zinaa au kwa sababu nyingine yeyote sehemu zao za siri zimeongezeka zaidi, dawa hii itayarudisha maumbile hayo katika hali ya kawaida.

Kama nilivyoeleza dawa hii ni ya asili na haina madhara hasi kwa mtumiaji.

Nipo Dar Es Salaam, kwa anayehitaji anipigie au anitumie ujumbe mfupi/sms katika namba +255759969045 naweza kukupa mkononi au kukutumia popote ulipo.

Woga ni ujinga na kizuri share na wenzako.

+255759969045
 
Ungepeleka Tangazo na pale Tandale ungapata wateja wengi sana.

Hivi siku hizi inaonekana akili za wanawake zimebinafsishwa?

Anyway, slogan yako ingesema 'ujinga ni mtaji wangu'

Haina madhara? Imethibitishwa na authority gani?

Iwe ndogo ili iweje? wakati wanamme wenye mapaipu wamejaa?
Iwe na harufu nyingine ili iweje? tangu lini kuku akanukia samaki?
 
Nashukuru.

Nimesema kwa yule anayehitaji, kama huhitaji pita na yako.


Ungepeleka Tangazo na pale Tandale ungapata wateja wengi sana.

Hivi siku hizi inaonekana akili za wanawake zimebinafsishwa?

Anyway, slogan yako ingesema 'ujinga ni mtaji wangu'

Haina madhara? Imethibitishwa na authority gani?

Iwe ndogo ili iweje? wakati wanamme wenye mapaipu wamejaa?
Iwe na harufu nyingine ili iweje? tangu lini kuku akanukia samaki?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom