Eliamini
JF-Expert Member
- Feb 4, 2012
- 618
- 744
wakuu kwa wle wafugaji wa broilers wazoef kuna mtu alinambia kuna dawa ya kuchanganya katika chakula cha kuku kinachowakuza kwa wiki 3 wanakua tayar kwa kuuzwa, kwa anayeifaham hiyo dawa naomba msaada wa jina,gharama na mahali inopopatikana mimi nipo kigamboni