Dawa ya kudumisha penzi!

Dawa ya kudumisha penzi!

Naibili

JF-Expert Member
Joined
Jan 24, 2011
Posts
1,878
Reaction score
1,060
Je wewe ni mmoja kati ya waathirika wa mapenz, yaani mpaka ibustiwe ndo isimame?
Je imekuwa ukilalamikiwa na mpenzi wako kuwa himrizishi?
Je Kwako kutumia dawa za kuongeza nguvu imekuwa kawaida?
Kwa utafiti mdogo nilioufanya nmegundua watu wengi hasa vijana, wanaathiriwa na matatizo hayo na mengine mengi mengi, ikiwemo kumaliza mshindo ndani ya dakika 2, kitu ambacho unakuwa humtendei haki mwenza waking,
SULUHISHO
Jitahidi kujizoesha kunya maji kwa wingi Masaa kadhaa kabla ya Mechi, tena inashauriwa kunywa maji ya moto motor, huna haja ya kubugia kwa mpigo, kunywa taratibu kama wanywa chai vile, vikombe visivyo pungua sita. Na pia jitahidi kujiweka sawa kisaikolojia, alafu epuka kufanya shughuli zitakazo uchosha mwili.
Usipuuze dawa hii imewasaidia wengi,
USHUHUDA
Mzee ben aliweza kuokoa ndoa zake baada ya kunywa dawa hii na kumfanya mkewe aachane na vijana walokuwa wakihatarisha ndoa yake.
 
wajuzi wamekuwa wendi kama manabii wa uongo tu
 
This is the world where by everyone claim to be telling the truth! BTT(back to topic), mzee ben ni nani?
 
Mbona mnaifanya JF kuwa uwanja wa uganga njaa na uganga wa kienyeji? Unamwita mtu kilaza halafu unategemea akusikilize? Jifunze lugha ya kitaaluma badala ya kuongea kihuni senzi wee Golizen.
 
Huna haja ya kumjua mzee ben
 
Mbona mnaifanya JF kuwa uwanja wa uganga njaa na uganga wa kienyeji? Unamwita mtu kilaza halafu unategemea akusikilize? Jifunze lugha ya kitaaluma badala ya kuongea kihuni senzi wee Golizen.
Eti father of all, alafu anasema Sen... ukweli huwa mchungu meza hivyo hivyo
 
Walengwa nadhani watajaribu,manake ukiumwa hata shubiri hua tamu...
 
Huna haja ya kumjua mzee ben

Tunashukru kwa ushauri wako ila siku nyingine usitumie lugha za matusi kama kilaza huo ni unyanyapaa kwa mgonjwa au wagonjwa hufai kuitwa dokta.
 
Tunashukru kwa ushauri wako ila siku nyingine usitumie lugha za matusi kama kilaza huo ni unyanyapaa kwa mgonjwa au wagonjwa hufai kuitwa dokta.

Maneno nimerekebisha Ila hupaswi kuniambia eti sifai kuwa dokta, usitukane Mamba kabla hujavuka mtoo!
 
Back
Top Bottom