Crispin Nyoni
JF-Expert Member
- Dec 11, 2012
- 413
- 90
Kuna jirani yangu ana ugonjwa wa kuchimbika mitombo. Hospitali nyingi amekwenda bila mabadiliko. Inafaa atumie dawa ipi?
Yalaah ndo ugojwa gani huo mitombo,
ni VD hiyo ama ni kaswende iliyokomaa sana ama Pangusa aende hospital sio Dr Nyondo!!!