Ndio huwa anaingia Mp baada ya miezi mitatuHatari sana, huyo unaweza kuta hata hazioni siku Kwa miezi kadhaa.
Hivi ni vipimo vya hosptali vya kitalaam kabisa.Hapa dawa ni yeye kutumia ARTIFICIAL hormones ili kuweka hiyo balance! Ila najiuliza, umejuaje kuwa tatizo lake ni hilo? Kama ni vipimo toka kwa wataalamu, kwa nini wasichukue hatua stahiki zaidi ya kukuambia kuwa ana hormone imbalance then the end of story!
Sent using Jamii Forums mobile app
Ingia Instagram ya Hosymichael utapata suluhisho la kudumu, believe meWakuu kama kichwa cha habari kinavyo sema, Mke wangu anatatizo la hormone imbalance, hivyo hawezi kubeba ujauzito, Naombeni msahada wa tatizo hili au dawa ambayo inaeza kumsaidia abebe ujauzito angalau Mtoto mmoja tu. Asanteni.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nataka kui-save anaitwa dada nani incase napatwa na hilo tatizo?Mcheck huyu dada atakusaidia 0692948695
Asante mkuuIngia Instagram ya Hosymichael utapata suluhisho la kudumu, believe me
Tumenda hospital, kapewa dawa lakini hazijamsadia. Na tumeenda hosptali nyingi sana mkuunani kakwambia tatizo ni hormon inbalance?? kama ni hospital je wamekushauri nini? kama wameshakupa tiba na advise na hazifanya kazi endelea kuomba ushauri kwa walimwengu ila kama hijaenda hospital na unatafuta advise mitandaoni jiandae kupigwa na hao wanaojiita wataalam
mungu awasaidie mpate tiba ila kuwa makini matapeli wengi wanatumia matatizo ya uzazi kama dili matangazo Yao yamejaa kila konaTumenda hospital, kapewa dawa lakini hazijamsadia. Na tumeenda hosptali nyingi sana mkuu
Sent using Jamii Forums mobile app
Hormobe ipi ilyo pungua?Wakuu kama kichwa cha habari kinavyo sema, Mke wangu anatatizo la hormone imbalance, hivyo hawezi kubeba ujauzito, Naombeni msahada wa tatizo hili au dawa ambayo inaeza kumsaidia abebe ujauzito angalau Mtoto mmoja tu. Asanteni.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa mkuu, asante sanamungu awasaidie mpate tiba ila kuwa makini matapeli wengi wanatumia matatizo ya uzazi kama dili matangazo Yao yamejaa kila kona
Mimi siyo daktari, lakini nina ushuhuda wa tatizo hilo. Fanya hivi, atumie vidonge vya majira. Mfululizo kwa miezi mitatu tatizo litakwisha. Siku zake zitarejea.Wakuu kama kichwa cha habari kinavyo sema, Mke wangu anatatizo la hormone imbalance, hivyo hawezi kubeba ujauzito, Naombeni msahada wa tatizo hili au dawa ambayo inaeza kumsaidia abebe ujauzito angalau Mtoto mmoja tu. Asanteni.
Sent using Jamii Forums mobile app