Wewe ndio wale unaomba 10,000 likitoka bundle la 1m unabadili dau 'fanya 50,000 basi'kuna watu wanaona vya wenzao sijui mavi
kuna mkaka ofsini ni ndugu yake boss wangu kijana ana hela jamani anaweza kuja na burungutu la hela ukamuomba mia tano ya soda atachomoa tu mia tano yaani
Shost unahangaika nini, siku hizi hakuna kukopeshana kienyeji na mwendo wa kuandikishana tu, inasaidia sana hasa pale unapomkamata na askari...narudia baadhi ya watu ambao sio walipaji bila Polisi hupewi hela ako ( japo utamkatia genji askari aliyefanikisha)Kuna mtu namdai yani kaniambia hana hela juzi kanunua simu jamani loooh!!halafu ofisi mja daahhh!!
Inakera sana ujue yani wanaangalia matatizo yao ya kwake hawayafikirii!!
Mkuu mi hadi nilimpoteza mume kwa sababu ya kumkopesha!..hela nyokooKuepuka kumpoteza mmtu unayempenda usikopeshe kama mimi
tupa kule mamaaa watu huwa wanazingua sanaMkuu mi hadi nilimpoteza mume kwa sababu ya kumkopesha!..hela nyokoo
dawa nikuwapotezeatupa kule mamaaa watu huwa wanazingua sana
Hii mie nishajiapiza weeh lakini wapi!!Yaani sasa hv na mie nataka nianze roho mbaya,maana unamuazima kiubinadamu Ila kwenye kulipana jamani mpk mtoleane maneno mwingine anakuambia kabisa
Sikupi sasa utanifanyaje?!daah!
Ulichoomba si miatano lakini?kuna watu wanaona vya wenzao sijui mavi
kuna mkaka ofsini ni ndugu yake boss wangu kijana ana hela jamani anaweza kuja na burungutu la hela ukamuomba mia tano ya soda atachomoa tu mia tano yaani