Unamuona na burungutu la hela, hizo hela zipo kwenye budget. Mjini hakuna kutoa ovyo, yaani mtu akuombe ya 'soda' wewe umpe ya 'bia'. Hata kukupa tu ni huruma, alitakiwa asikupe kabisa...laki ikipungua jero tu haitoshi kununua kitu fulani.kuna watu wanaona vya wenzao sijui mavi
kuna mkaka ofsini ni ndugu yake boss wangu kijana ana hela jamani anaweza kuja na burungutu la hela ukamuomba mia tano ya soda atachomoa tu mia tano yaani
OTE="peterchoka, post: 17460801, member: 252927"]Mmoja kaniambia mwisho wa mwezi nakulipa, Leo tarehe 3 sijui mshahara kwao bado haujatoka
Mtu hupewa aombacho ..si zaidi ya aombacho...labda kipunguzwekuna watu wanaona vya wenzao sijui mavi
kuna mkaka ofsini ni ndugu yake boss wangu kijana ana hela jamani anaweza kuja na burungutu la hela ukamuomba mia tano ya soda atachomoa tu mia tano yaani
Mtu hupewa aombacho ..si zaidi ya aombacho...labda kipunguzwe
Hahahaha za jk....Zamani au enzi za JK?
Sasa wewe si umeomba hela ya soda?kuna watu wanaona vya wenzao sijui mavi
kuna mkaka ofsini ni ndugu yake boss wangu kijana ana hela jamani anaweza kuja na burungutu la hela ukamuomba mia tano ya soda atachomoa tu mia tano yaani
si tunapunguza ukali wa maneno mkuu?Sasa wewe si umeomba hela ya soda?
Hapo upo kama mimi.Kati ya vitu ambavyo siwez nikufwatilia deni izo biashara zakuambiwa njoo kesho siziwez wengine sio wastaarab nn kukutukana juu,
bora nimnyime Tu kuliko kuanza kusumbuana kwa maneno yasiyo pendeza
kwani nimesema sikulipi usinsumbue na icho ki pesa chako ,