Haya kwa wale mliokuwa na wasiwasi na dawa ya Babu Mch. Mwasapile, watafiti wamesema leo haina madhara yoyote kwa binadamu na wanafanya uchunguzi kwa wagonjwa 200 waliotumia kikombe cha Babu. Source Channel 10 habari leo saa moja
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.