Dawa ya Babu haina madhara

Wa Ndima

JF-Expert Member
Aug 13, 2010
1,526
323
Haya kwa wale mliokuwa na wasiwasi na dawa ya Babu Mch. Mwasapile, watafiti wamesema leo haina madhara yoyote kwa binadamu na wanafanya uchunguzi kwa wagonjwa 200 waliotumia kikombe cha Babu. Source Channel 10 habari leo saa moja
 
Back
Top Bottom