Tumainiandy
JF-Expert Member
- Jul 25, 2014
- 429
- 86
Uamkapo asubuhi kama unaweza chemsha asali vijiko vikubwa vitatu au vinnee kwenye maji yanayotosheleza kikombe kimoja unywe na kwenye diet yako usikose mayai ya kware unaweaza tembelea website hii hapa wives connection: Why You Desperately Need Quail Eggs
au Bofya hapa kwa manufaa ya kware. Punguza vyakula vya wanga ( kama ugali, ila kula wa donna, wali. pasta, chips marufuku mpaka baada ya miezi mitatu unaweza kuwa unatupia) na fanya mazoezi kwa kuanzia hata kutembea dakika 15 kwa haraka.
au Bofya hapa kwa manufaa ya kware. Punguza vyakula vya wanga ( kama ugali, ila kula wa donna, wali. pasta, chips marufuku mpaka baada ya miezi mitatu unaweza kuwa unatupia) na fanya mazoezi kwa kuanzia hata kutembea dakika 15 kwa haraka.