Kinacosababisha oral tablets zichukue muda kufanya kazi ni ile route inayopita,its a bit long.kwanza kidisintergate,kisha kidisolvena kiwe absorbed into blood stream halafu dawa husika isafirishwe mpaka katika hiyo mishipa inayohitaji kutanuliwa ile jogoo awike.Sasa wanachofanya wanasayansi ni kutafuta a shortcut route,yaani kwa mfano dawa inawezaje kufika katika hiyo mishipa bila ya kupitia huo mlolongo mzima.
Sasa kwa hiyo dawa inayoongelewa,kwanza kama ni ya kupaka inaweza kuwa katika solution form hivyo ikifika katika mishipa husika ni kuchapa kazi tuu kwa kwenda mbele.Unachoweza kufanya ni kuiweka katika vehicle ambayo itaweza kuisafirisha through the skin hivyo kufika katika mishipa ya damu moja kwa moja,na fat soluble vehicles are very good at this,kinachotkiwa ni dawa husika kuwa fat soluble also.
Ulishawahi kujiuliza ni kwanini sublingal nifedipine inashusha preessure haraka ukilinganisha na oral nifedipine!Ni kwa sababu sublingal nifedipine inaenda moja kwa moja katika damu na kuanza kuchapa kazi.Na ukijaribu kuangalia kwa makini utagundua dawa ni zile zile kinachobadilika ni formulations za dawa husika.Leo kidonge,kesho lotion,keshokutwa solution ili mradi wapate kuipata pesa yako kwa urahisi.